28.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Timu ya Taifa kriketi ya wanawake kusaka tiketi ya Kombe la Dunia

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya wanawake ya mchezo wa kriketi ya Tanzania inatarajiwa kushiriki mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia yatakayofanyika nchini Namibia...

Ratiba ya Ligi Kuu yaanikwa, Dabi ya Kariakoo Yanga mwenyeji Desemba 13

Na Winfrida Mtoi Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara(TPLB) leo Agosti 29, 2025, imetangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ya 2025/26, ikitarajia kuanza...

Urusi yaua watatu, yajeruhi 24 Ukraine

KYIV, UkraineSHAMBULIZI la asubuhi ya leo lililofanywa na Urusi nchini Ukraine mjini Kyiv limesababisha vifo vya watu watatu, akiwamo mtoto.Aliyethibitisha kutokea kwa shambulio hilo...

Blair akutana na Trump kuijadili Gaza

LOS ANGELES, MarekaniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair, amekutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, ajenga ikiwa ni namna ya kumaliza mgogoro...

Amorim akiri wachezaji wake kupoteana uwanjani

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema timu yake ilipoteza dira ndani ya uwanja na hiyo ikasababisha itolewe kwenye michuano ya Carabao Cup.Man...

Soka la Ujerumani na changamoto ya ubaguzi wa rangi

MUNICH, UjerumaniLICHA ya jitihada kubwa za Chama cha Soka, klabu na baadhi ya mashabiki, bado imeonekana ni ngumu kuondosha vitendo vya ubaguzi dhidi ya...

Madrid sasa hesabu zao kwa Mainoo

MADRID, HispaniaVIGOGO wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid, wanaipigia hesabu saini ya kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo.Madrid sasa inaungana na...

Galatasaray watua England kumfuata Bissouma

LONDON, UingerezaWAKONGWE wa Ligi Kuu ya Uturuki, Galatasaray, wameripotiwa kuitaka saini ya kiungo wa ulinzi wa Tottenham, Yves Bissouma.Nyota huyo raia wa Mali hajacheza...

Vazquez aondoka La Liga, atua Leverkusen

MADRID, HispaniaWINGA wa kimataifa wa Hispania, Lucas Vazquez, ametimka Real Madrid na kujiunga na Bayer Leverkusen akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake...

Vardy kumalizia soka Serie A?

MILAN, ItaliaBAADA ya kuachwa na Leicester City, huenda Jamie Vardy akajiunga na moja ya klabu za Ligi Kuu ya Italia (Serie A).Vardy (38), kwa...

City wamalizana na Donnarumma, kumng’oa Ederson

PARIS, UfaransaMLINDA mlango wa PSG na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amekubaliana masilahi binafsi na klabu ya Manchester City.Donnarumma mwenye umri wa...

Zelensky: Tutapigana na Urusi hadi kieleweke

KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema wataendeleza vita na Urusi hadi pale majirani zao hao watakapoacha kuwakandamiza.Kauli ya Zelensky imekuja baada ya Urusi...