25.2 C
Dar es Salaam

Infographics

Chati| Sababu za kushuka kwa ufaulu shule kuu ya Sheria Tanzania

Na, Anoth Paul, Gazetini Kwa mujibu wa Matokeo mwaka 2022 ni asilimia 4.1 tu ya wahitimu wamefaulu. Ndoto ya wanafunzi 633 katika Shule Kuu ya...

Visual| Ajali za Pikipiki tishio MOI

Na Anoth Paul, Gazetini Ajali zitokanazo na pikipiki zimesababisha idadi kubwa ya wagonjwa katika Taasisi ya Mifupa kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Asilimia 70...

Elizabeth; Mama wa Watoto sita anayepambana na maisha Mvomero

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini “Acha…Si unaumwa wewe? Sina pesa mimi ya kukukimbiza hospitali sahivi,” Ni maneno ya mama anayemkataza mtoto wake kufanya michezo ya hatari...

Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

Unyanyapaa unavyowapitisha WAVIU katika mstari wa kifo

Na Faraja Masinde, Gazetini "Nilipata maambukizi ya VVU nikiwa na miaka 24, baada ya kupata mwanaume mwenye pesa sana lakini kumbe alikuwa na maambukizi, ndugu...

Visual| Geita inavyoitikia Uzazi wa Mpango

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa Magharibi, Shinyanga upande wa Kusini na Mwanza...

Infographic| Mambo unayopaswa kufahamu kuhusu TAWA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Management Authority - TAWA) ilianzishwa kwa mujibu wa Kifungu cha 8 cha Sheria...

Visual| Umaskini unavyochochea ndoa za utotoni Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini "Sina furaha kabisa na ndoa hii, natamani kutoka lakini kinachonibakisha ni watoto wangu wawili, sitamani tena kuzaa mtoto mwingine nasubiri watoto...

Visual| Tunachofahamu kuhusu chanjo ya Uviko-19 Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Hadi kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18...

Visual| Miaka 40 ya UKIMWI: Namna Afrika ilivyotikiswa

Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa tangu kuripotiwa kwa kisa cha Virusi Vya UKIMWI, hata hivyo bado ugonjwa huo umeendelea kuwa...

Visual| Tunachofahamu kuhusu ndoa za mitala Tanzania

Kwa mujibu wa Matokeo Muhimu ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania wa mwaka 2015-16, yanaonyesha kuwa asilimia...

Wanawake wa mijini ni wanene mara mbili zaidi

Utafiti wa TDHS-MIS 2015-16 unaonyesha kuwa 42% ya wanawake wa mijini ni wazito au wanene mara mbili zaidi ya wale wa vijijini. Uzito uliokithiri na...

Recent articles

spot_img