27.2 C
Dar es Salaam

Infographics

Visua| Hii ndiyo Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Amani

Na Faraja Masinde, Gazetini NI Hifadhi iliyotawaliwa na ukimya mkubwa. Kelele zake utazisikia kupitia ndege tu wanaoruka kutoka tawi moja kwenda jingine wakijitafutia chakula chao...

Tunachofahamu kuhusu Usambara Eagle Owl

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na machapisho mbalimbali, Bundi ni miongoni mwa ndege ambae huishi kutegemea nyama kama chakula chake kikuu. Bundi hutafuta mawindo yake nyakati...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

‘Watoto 340 watelekezwa’ ndani ya miezi 12 Songwe

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe zinaonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja wa...

Infographic| Ufanisi wa TIC kwa miaka mitatu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA ni miongoni mwa nchi zenye fursa nyingi za uwekezaji katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki, sambamba na hilo kwa siku...

Chart| Tembo wanavyoitesa Serikali Same

*Wadau wasema utafiti wa kina unahitajika ili kupata suluhu Na Jackline Jerome, Gazetini Vijiji 25 wilayani Same mkoani Kilimanjaro Kaskazini mwa Tanzania yamegauka kuwa maskani ya...

Infographic| Tunachofahamu kuhusu Mji wa Serikali

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Takwimu zinaeleza kuwa miji inakadiriwa kuzalisha asilimia 80 ya ukuaji wote wa uchumi. Hivyo hakuna shaka kuwa Mji wa Serikali nchini Tanzania ambao...

DCEA: Kila mtu anawajibika kudhibiti dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa matumizi ya dawa za kulevya nchini yanadhibitiwa, jamii imeaswa kuelimisha watoto na vijana juu ya athari zitokanazo na...

Visual| Idadi ya watu Tanzania kwa umri

Kulingana na matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Oktoba 23, 2022 yanaonyesha kwamba idadi ya Watanzania wanaoishi maeneo ya Vijijini ni karibu...

Visual| Daraja la Busisi kutoka dakika 120 hadi 4

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Kawaida daraja hujengwa kwa kusudi la kuwa na njia ya kupitia juu ya pengo au kizuizi. Licha ya hivyo daraja...

Chart| Halmashauri 10 zilizozima Posi kwa muda mrefu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema wakurugenzi wa halmashauri ambao...

Infographic| Tunachofahamu kuhusu ndege mpya ya Boeing 767-300F

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 3, 2023 Tanzania imepokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, ni wazi kuwa hatua hiyo itachochea kukuza...

Recent articles

spot_img