Na John Mapepele
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza...
Na Mwandishi Wetu
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...
Na Mwandishi Wetu
IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...
Na Mwandishi Wetu
Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...
Na Mwandishi Wetu
Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila...
Na Mwandishi Wetu
Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu amesema kwa sasa shirika lina mtaji mkubwa...
Na Mwandishi Wetu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa kuwa na watoto wengi...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwamo Japan...
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...