24.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Simbachawene: Uhamisho ni haki ya mtumishi, waajiri watumie busara

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema kuwa uhamisho ni haki...

Kanisa la Shincheonji lakanusha Ripoti ya Le Parisien, ladai ni upotoshaji

Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa limekanusha vikali taarifa iliyochapishwa na gazeti la Le Parisien Aprili 7, 2025, likiitaja kama yenye upendeleo, upotoshaji...

Rais Samia mgeni rasmi Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’

Na Esther Mnyika, Gazetini RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za wanahabari zinazojulikana kama Samia Kalamu...

Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...

IWPG Engages Tanzanian Government in Strategic Dialogue on Women-Led Peacebuilding at UN CSW69

The International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2, under the leadership of Regional Director Seo-Yeon Lee, took part in the 69th session of...

IWPG Signs MOU for Peace Projects at the 69th UN CSW Session

The International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2 (Global Director Seo-Yeon Lee) participated in the 69th session of the UN Commission on the...

Chart: Nchi 10 barani Afrika zinazokumbwa zaidi na ugaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa ripoti ya GTI ya 2025 iliyochapishwa na Taasisi ya Uchumi na Amani, ukanda wa Sahel umeendelea kuwa kitovu...

IWPG Champions Peace Education and Gender Justice at the 69th UN CSW

The International Women’s Peace Group (IWPG), led by Chairwoman Hyun Sook Yoon, actively participated in the 69th UN Commission on the Status of Women...

DCEA ‘inavyotafuna mfupa’ wa dawa za kulevya nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika juhudi za kuhakikisha Tanzania inakuwa salama dhidi ya athari za dawa za kulevya, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa...

Mwenyekiti wa CCM Rorya adaiwa kugawa viongozi wa chama, watendaji

*Kada wa CCM amuomba Wasira washuke kuona yanayoendele, Mwenyekiti Ongujo atoa kauli Na Mwandishi Wetu, Rorya KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka wilayani Rorya mkoani...

Miradi ya TUI Care Foundation kuboresha misitu kwa utalii endelevu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa...

Recent articles

spot_img