24.1 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Waziri Mchengerwa atoa rai kwa walimu

Na John Mapepele  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza...

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yatakiwa kutanua wigo wa kazi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...

Mama Yoyo ya Dully Sykes yazidi kumpaisha YJ Kiboko

Na Mwandishi Wetu BAADA ya kimya cha muda mrefu, staa wa Bongo Fleva Yakuti Joseph a.k.a YJ Kiboko ameibuliwa upya na kolabo yake na mkongwe...

NMB ilivyonogesha Pugu Marathon 2025 , zaidi ya wanariadha 6000 wajitokeza

Na Mwandishi Wetu IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...

Serikali yasisitiza Dabi iko pale pale Juni 15

Na Mwandishi Wetu Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani  hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...

Dk.Samia atoa agizo kwa wanaochuja wagombea, asema Magwajima yaachwe nje

Na Mwandishi Wetu Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan,  amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi...

CCM yaahidi kukamilisha Katiba mpya, kuzalisha ajira milioni 8

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila...

Mabondia wamchana ‘live’ Amos Mwamakula baada ya kushindwa kesi ya Vitasa na Azam Media

Na Mwandishi Wetu Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...

NIC yajivunia dhamana ya bilioni 292, RC Mtanda aipa mtihani

Na Mwandishi wetu, Mwanza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu amesema kwa sasa shirika lina mtaji mkubwa...

Dar yatajwa kinara watoto wa mtaani

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa  kuwa na watoto wengi...

Majaliwa: Serikali itaendeleza mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwamo Japan...

Simchimba aitaka Ligi Kuu, tatu zamfuata

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...

Recent articles

spot_img