Na Mwandishi Wetu
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa, wako vizuri kiakili, yeye kama kocha kazi yake...
Na Mwandishi Wetu
Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimehitimisha msimu wa mashindano kwa mujibu wa kalenda yao kwa kupata mabingwa katika michuano ya Taifa ya...
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imetangaza uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo utakaofanyika Agosti 16, 2025 jijini Tanga.
Taarifa ya Mwenyekiti...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Vijana wadogo 295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa kuogelea ya Taifa ambapo Chama cha Mchezo huo Tanzania (TSA), kimesema...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema kuwa inaendelea kufuatilia kwa makini sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba, lakini haitangilia...
Na Mwandishi Wetu
Pamoja na mkanganyiko uliopo juu ya mchezo dabi ambapo Yanga wameweka wazi kuwa hawatapeleka timu uwanjani Juni 15, klabu ya Simba imetoa...
Na Mwandishi Wetu
Sakata la Klabu ya Yanga la fedha za zawadi, limeendelea baada ya kutoa tuhuma nyingine kwa Shirikisho la Soka Tanzania( TFF) ambapo...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh 43 bilioni ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini, kati ya hizo, Sh 32 bilioni ...
Na Mwandishi Wetu
Licha ya kufanya kikao na uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), leo Juni 9, 2025, Klabu ya Yanga imeendelea kushikilia msimamo...
Na Mwandishi Wetu
IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...
Na Mwandishi Wetu
Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...
Na Mwandishi Wetu
Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...