25.4 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Simba ni ‘do or die’, hesabu kali huko Mali

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kupoteza mechi yao ya kwanza ya hatua ya makundi msimu huu wa Ligi ya Mabingwa, Simba inahitaji ushindi wikiendi...

Yanga kutamba ugenini leo?

KABYLIA, AlgeriaYANGA watakuwa ugenini leo kumenyana na JS Kabylie, mchezo wa pili kwa kila timu msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika.Ni mechi ya...

Ndejembi: Tanzania sasa ina umeme wa kutosha, mgao utabaki historia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha, na kwamba ukamilifu wa Mradi wa Kufua Umeme...

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu  ajiuzulu TEF

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).Machumu amekabidhi barua...

Waziri Mkuu aeleza sababu yakutotaja idadi vifo vilivyotokea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema ni muhimu watanzania kutanguliza utu na heshima kwa familia zilizopoteza wapendwa wao, akipinga namna ambavyo...

Wizara ya Madini yafuta leseni 73 za uchimbaji na utafiti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amefuta leseni 73 za utafiti na uchimbaji wa kati baada ya wamiliki wake kushindwa kurekebisha makosa...

Viwango vipya CAF, Simba nafasi ya tano

CAIRO, MisriRIPOTI mpya ya viwango vya ubora wa klabu vya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) imetoka na Simba ya Tanzania iko nafasi ya...

Dk.Mwigulu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uzbekistan (2)

LONDON, UingerezaKWA viwango vya sasa vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Uzbekistan inashika nafasi ya 50.Uzbekistan, maarufu kwa jina...

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi akamatwe

Na Mwandishi WetuWaziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameliagiza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi...

WHO: Dunia imeshindwa ukomesha ukatili dhidi ya wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na wadau wa Umoja wa Mataifa limetoa ripoti muhimu leo jijini Geneva, Uswisi, ikibainisha kuwa...

Biteko akabidhi ofisi, aahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ALIYEKUWA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo 20 Novemba, 2025 amemkabidhi  rasmi ofisi Waziri wa Nishati...

Recent articles

spot_img