24.6 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Wadau mchezo wa kuogelea Afrika Mashariki wakutana, Serikali yaahidi kuunga mkono jitihada

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao...

Dube azima ngebe za waarabu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAO pekee lililofungwa na Prince Dube dakika ya 58, limeipa Yanga alama tatu muhimu katika mchezo wa kwanza wa hatua ya...

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi akamatwe

Na Mwandishi WetuWaziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameliagiza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi...

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...

Yanga yaanika silaha za kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya kesho Novemba 22,2025 dhidi ya AS FAR Rabat ni...

Biteko akabidhi ofisi, aahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ALIYEKUWA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo 20 Novemba, 2025 amemkabidhi  rasmi ofisi Waziri wa Nishati...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume Huru ya Uchunguzi matukio yaliyotokea uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba...

Rais Samia: Yaliyotokea yameipunguzia sifa Tanzania, sioni shida kubadilisha mawaziri

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yaliyotokea Oktoba 29, yameitia doa Tanzania na huenda yakaipunguzia sifa...

Watoto mapacha wajinyonga Pemba, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa watoto wawili wa kike wenye umri wa miaka 11,...

Yanga yatua Zanzibar kuisubiri AS FAR Rabat

Na Na Winfrida Mtoi, Gazetini Msafara wa kikosi cha Yanga umetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR Rabat ya Morocco katika mchezo wa...

Baraza jipya la Mawaziri ‘surprise’, walioachwa, wapya na waliobaki

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri, akiunda jumla ya wizara 27, mbili zikiwa...

Mayele aingia tatu Bora Tuzo ya mchezaji Bora Afrika

Na Mwandishi Wetu Nyota wa Pyramids, Fiston Mayele ameingia katika tatu bora ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka...

Recent articles

spot_img