24.8 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Bondia Mrembo akabidhiwa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya Mariam Dick kutoka Malawi watakapokutana katika pambano la Box...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi, Gazetini CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa gym  na makocha wa viungo ili kuwaongezea ujuzi na...

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu  ajiuzulu TEF

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).Machumu amekabidhi barua...

Wanariadha 155 kuchuana Ladies First 2025 kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba...

Waziri Mkuu aeleza sababu yakutotaja idadi vifo vilivyotokea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema ni muhimu watanzania kutanguliza utu na heshima kwa familia zilizopoteza wapendwa wao, akipinga namna ambavyo...

Niffer arudishwa rumande, 20 kesi ya uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu, Gezetini Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru, huku mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu...

Wizara ya Madini yafuta leseni 73 za uchimbaji na utafiti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amefuta leseni 73 za utafiti na uchimbaji wa kati baada ya wamiliki wake kushindwa kurekebisha makosa...

Mabondia kutishiana kabla ya Desemba 26

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KUELEKEA pambano kubwa la kufunga mwaka maarufu ‘Boxing On Boxing Day, tayari mabondia wanaopanda ulingoni siku hiyo wakiongozwa na Hassan Mwakinyo,...

Dk.Mwigulu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika...

Watuhumiwa 57 wa uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilemela imewaachia huru watuhumiwa 57 kati 61 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa kufuatia  maandamano na matukio ya...

Miquissone aibipu Simba, atayaweza?

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAADA ya Simba kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, winga wa zamani wa timu hiyo...

Simba hoi kwa Mkapa, Azam nayo mambo magumu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SIMBA imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kufungwa na Petro de Luanda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijjni Dar es...

Recent articles

spot_img