23.5 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

‘Mawinga’ matapeli mtandaoni kudhibitiwa, serikali yavuna mabilioni kwenye kubeti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imekiri kuwepo kwa ujanja ujanja katika biashara ya mtandaoni, hivyo imeanza kuchukua hatua na kupunguza changamoto hiyo kwa kuwa na...

Serikali yafikiria kuwapa posho wazee

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imesema inaangalia uwezekano wa kuwanusuru wazee kutoka kwenye umasikini kwa kuanza kuwalipa posho kila mwezi endapo hali ya uchumi itaruhusu. Hayo...

Serikali ya Marekani kutoa Dola milioni moja mapambano dhidi Mpox

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza kutoa msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji...

Kugombea uenyekiti TAREFA Sh 200,000

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzani(TFF), limetangaza uchaguzi mkuu wa Chama cha Soka  Mkoa wa Tabora ambapo gharama za...

Madaktari bingwa 50 waweka kambi Singida

Na Mwandishi wetu, Gazetini Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dk. Fatma Mganga amewapokea madaktari bingwa na bingwa bobezi 50 wa Rais Samia na kuwataka...

Waziri Mkuu awataka wanahabari kutumia Akili Mnemba kama nyenzo na si kikwazo

Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka  waandishi wa habari nchini kutumia Akili Mnemba (IA) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na...

Chart| Tanzania yapaa orodha ya mataifa 30 bora ya kiuchumi Afrika 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...

Zuhura ahimiza wafanyakazi kushiriki michezo ili kujenga afya

Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amewahimiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga...

Majaliwa atoa maagizo sita kwa wadau wa kilimo

*Ahamasisha ushirika wa wakulima Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 27, 2025, ametoa maagizo sita kwa wadau wa sekta ya kilimo nchini,...

Simba yatinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika

Na Mwandishi wetu, Gazetini Timu ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya leo kutoka suluhu na Stellebosch katika mchezo wa...

TSA yajivunia ubora wa waogeleaji Klabu Bingwa Taifa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mashindano ya kuogelea ya Klabu Bingwa Taifa yameanza huku uongozi wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), ukiwa na matumaini makubwa ya...

Jaji Kiongozi apongeza ushirikiano wa Mahakama na OSHA katika kukuza usalama na afya mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaoendelea baina ya Mahakama na Wakala wa Usalama na...

Recent articles

spot_img