28.9 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Waziri Simbachawene  aagiza Jeshi la Polisi  kukamata watuhumiwa kwa staha

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amemuagiza  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus Wambura kuhakikisha ukamataji wa watuhumiwa unafanywa kwa kufuata...

Yanga, Azam FC zachekelea, Simba akifa kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili kupigwa ambapo Yanga na Azam zimefanikiwa kuondoka na alama...

Mnyama achezea kichapo kingine Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SIMBA imepoteza mchezo wa pili wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa na Stade Malien ugenini nchini Mali. Mchezo...

MwanaFA awaita wadau kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake michezoni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba wadau na wadhamini kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake katika...

REA imefanya kazi kubwa ya kufikisha huduma za nishati vijijini- Waziri Ndejembi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kufikisha umeme kwenye vijiji na maeneo ya pembezoni mwa...

Ridhiwani:Niko tayari kuhojiwa kuhusu tuhuma za Lake Oil

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema yuko tayari kuitwa na Sekretarieti...

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na...

Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji tuzo za msimu  wa 2024/25 ziliyopangwa kufanyika Desemba 5, 2025,...

Bondia Mrembo akabidhiwa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya Mariam Dick kutoka Malawi watakapokutana katika pambano la Box...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi, Gazetini CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa gym  na makocha wa viungo ili kuwaongezea ujuzi na...

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu  ajiuzulu TEF

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).Machumu amekabidhi barua...

Wanariadha 155 kuchuana Ladies First 2025 kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba...

Recent articles

spot_img