29.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa...

Visua| Hii ndiyo Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Amani

Na Faraja Masinde, Gazetini NI Hifadhi iliyotawaliwa na ukimya mkubwa. Kelele zake utazisikia kupitia ndege tu wanaoruka kutoka tawi moja kwenda jingine wakijitafutia chakula chao...

GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa kiasi cha Sh milioni 150 kudhamini...

Rais Samia awakosha wakazi wa Nanyamba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya...

Luhemeja awataka Madiwani kuwa Mabalozi wa Usalama na Afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu - Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhandisi, Cyprian Luhemeja amewataka madiwani wa Mkoa wa...

Serikali: GGML haija-blacklist vijana nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa...

Mradi wa Heshimu Bahari kuimarisha mazingira ya bahari Tanzania

Na Mwandishi Wetu, ZanzibarMRADI wa Heshimu Bahari umelenga kuimarisha mazingira ya bahari na viumbe vyake katika maeneo ya hifadhi, ili kukuza hifadhi ya bahari...

Tunachofahamu kuhusu Usambara Eagle Owl

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na machapisho mbalimbali, Bundi ni miongoni mwa ndege ambae huishi kutegemea nyama kama chakula chake kikuu. Bundi hutafuta mawindo yake nyakati...

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali kwa mazingira mazuri ya uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza serikali kwa kujenga mazingira bora ya uwekezaji nchini ikiwemo kuhakikisha kwamba kunakuwa...

Shoroba za Derema-Amani Nilo zitakavyochochea ustawi wa wanyama Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali iko katika mbioni kuunganisha Shoroba mbili za Derema na Amani Nilo zinazopatikana ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mazingira Asilia...

Makala| Elimu bora, Mazingira bora inavyolipa Muheza

Na Faraja Masinde, Muheza “Hata sisi walimu tumejifunza kwamba tunapofundisha hatutakiwi kutumia dakika zote 45 darasani hapana, kuna muda wa kuwatoa wanafunzi nje ya darasa...

Makala| Safari ya Siah Malle katika uhandisi inavyochochea vipaji vipya vya wanawake wenye ndoto kubwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Siah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja dhana iliyojengeka na kuwagawa wanawake na wanaume kwenye uwanja wa taaluma...

Recent articles

spot_img