Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Msumbiji katika kuleta maendeleo , ustawi wa wananchi ikiwamo kuimarisha uhusiano kibiasharana baina ya nchi hizo mbili na kukuza mshikamano barani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania,...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atalivunja rasmi Baraza la Kumi la Wawakilishi...
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na waumini mbalimbali wa Kanisa Katoliki Duniani kushiriki Dominika...
Na Mwandishi Wetu
Watumishi wa Umma wameaswa kuendelea kuzingatia miiko na maadili ya utumishi wa umma, sera za nchi, sheria, kanuni na miongozo iliyopo ambayo...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amefungua rasmi Daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo - Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze...
Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Juni 16, 2025, amezindua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha MOLI Oil Mills...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa wahitimu wa kozi ya maafisa na wakaguzi wasaidizi wa Jeshi la Polisi kuwa mabalozi wa maadili na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Juni 8, 2025, Tanzania iliungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Bahari Duniani — siku muhimu ya kutoa wito wa...
Na Mwandishi Wetu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na...