25.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Wanawake wa mijini ni wanene mara mbili zaidi

Utafiti wa TDHS-MIS 2015-16 unaonyesha kuwa 42% ya wanawake wa mijini ni wazito au wanene mara mbili zaidi ya wale wa vijijini. Uzito uliokithiri na...

Visual| Tunayofahamu kuhusu Bajeti Kuu ya Serikali 2022/2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha wa 2022/2023. Dk. Nchemba amewasilisha...

Wanawake na Vijana kunufaika na ajira milioni 3

Na Faraja Masinde, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa inakabiliana na makali ya ukosefu wa ajira, Serikali imepanga kutengeneza ajira za wanawake na vijana milioni 3 kote...

Serikali na mkakati wa kusajili watoto wote nchini

Na Faraja Masinde, Gazetini SERIKALI imeagiza kusajiliwa kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano na kwamba huduma hiyo inatolewa bure. Wito huo umetolewa Juni...

Serikali yatenga Bilioni 8 kusaidia watoto wanaotoka familia maskini

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali imeanzisha Mfuko maalumu utakaowasaidia wanafuzni wanaotoka katika mazingira magumu ili waweze kumudu masomo yao nakupunguza utegemezi kutoka kwa watu mbalimbali...

Visual| Kwanini uwekeze kwa Mkunga

Na Faraja Masinde, Gazetini Maisha ya wanawake 556 wanaofariki dunia kutokana na uzazi yanaweza kuokolewa iwapo tu uwekezaji utafanyika kwa Wakunga. Aidha, vifo vya watoto 67...

Visual| Ushamiri wa VVU nchini Tanzania

Hali ya Ushamiri kwa kila Mkoa(%) Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha kuwa inatokomeza janga la UKIMWI kufikia mwaka 2030 kama ilivyo pia katika...

Recent articles

spot_img