23.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Chart| Tanzania yapaa orodha ya mataifa 30 bora ya kiuchumi Afrika 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...

Zuhura ahimiza wafanyakazi kushiriki michezo ili kujenga afya

Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amewahimiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga...

Majaliwa atoa maagizo sita kwa wadau wa kilimo

*Ahamasisha ushirika wa wakulima Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 27, 2025, ametoa maagizo sita kwa wadau wa sekta ya kilimo nchini,...

Simba yatinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika

Na Mwandishi wetu, Gazetini Timu ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya leo kutoka suluhu na Stellebosch katika mchezo wa...

TSA yajivunia ubora wa waogeleaji Klabu Bingwa Taifa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mashindano ya kuogelea ya Klabu Bingwa Taifa yameanza huku uongozi wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), ukiwa na matumaini makubwa ya...

Jaji Kiongozi apongeza ushirikiano wa Mahakama na OSHA katika kukuza usalama na afya mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaoendelea baina ya Mahakama na Wakala wa Usalama na...

Baraza la tiba asili na tiba mbadala latakiwa kutumia tafiti kuleta mchango sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba...

Migogoro ya viongozi yamchefua Dk. Biteko

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha...

Dk. Tulia awataka watanzania kuulinda Muungano kwa wivu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amesema...

Serikali yasajili miradi 73 ya biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema katika kuimarisha sekta ya hifadhi na...

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Ramadhan Hassan, Gazetni-Dodoma SERIKALI imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambavyo vinakusudia...

Dk. Mpango aweka jiwe la msingi ujenzi wa viwanja Zanzibar

*Asema serikali zote mbili zimedhamiria kufanya mageuzi sekta ya michezo Na Mwandishi Wetu, Gazetini Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...