29.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (NACOPHA) latangaza Uongozi mpya

*Lawataka WAVIU kuamka wakatae utegemezi Na Mwandishi Wetu, Morogoro Katika tukio la kihistoria lililomjumuisha Bodi mpya ya uongozi wa Baraza la Kitaifa la Watu Wanaoishi na...

Dk. Yonazi: Waelimisheni vijana maadili mema ili kuwaepusha na maambuki ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kuwaelimisha na kuwajenga vijana katika maadili mema, kuwaepusha na maambukizi ya VVU na kudhihirisha jitihada za...

Dk. Yonazi aridhishwa na maandalizi ya Kuelekea Siku ya UKIMWI Duniani

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi ametembelea mabanda mbalimbali na kujionea maandalizi yaliofanywa na wadau mbalimbali kuelekea...

GGML yatoa milioni 17 kupiga tafu ATF Marathon 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kukabiliana na maambukizi ya Virus Vya Ukimwi (VVU), Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...

Kipengele cha Gesi, Mafuta na Madini charudishwa tuzo za EJAT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) 2023, imelirudisha kundi la Habari za Gesi, Mafuta...

Mabadiliko tabianchi kikwazo Ajenda 10/30

Na Faraja Masinde, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi imeelezwa kuwa moja ya changamoto inayoathiri sekta ya kilimo nchini hatua ambayo imesababisha hata mbegu zilizopo kushindwa kustahimili...

Fahamu| Manyara yaongoza kwa kuwa na wanaume wengi

Na Mwandish Wetu, Gazetini Kulingana na Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yaliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS), Manyara ndiyo...

Visual| Kituo cha Maarifa Manyoni kinavyosaidia mapambano ya VVU

*Kamati ya Bunge ya Afya na UKIMWI yapongeza Na Nadhifa Omar, Singida Kituo cha Maarifa cha Manyoni mkoani Singida kimechangia katika mikakati ya Taifa ya utoaji...

Chart| Uchumi wa Tanzania wazidi kupaa mwaka 2023

Na Jackline Jerome, Gazetini Kulingana na takwimu mpya zilizotolewa mwaka huu na Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF), pato la Taifa la Tanzania kwa bei ya...

‘Acheni kutumia chupa kunyonyesha watoto’

Na Faraja Masinde, Gazetini Wataalamu wa lishe wameshauri akina mama wanaonyonyesha kuacha kutumia chupa zinazouzwa maduka ya dawa kunyonyeshea watoto kwani hatua hiyo inachochea watoto...

Mtoto wa miezi miwili anyweshwa sumu ya kuulia wadudu Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini NI unyama! Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kenokwe kata ya Mosongo wilayani Serengeti mkoani...

Chart| Tembo wanavyoitesa Serikali Same

*Wadau wasema utafiti wa kina unahitajika ili kupata suluhu Na Jackline Jerome, Gazetini Vijiji 25 wilayani Same mkoani Kilimanjaro Kaskazini mwa Tanzania yamegauka kuwa maskani ya...

Recent articles

spot_img