24.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mwandishi Gazetini kuwania tuzo EJAT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwandishi Faraja Masinde kutoka tovuti ya www.gazetini.co.tz inayo chini ya Gazetini Communications ni kati ya waandishi wa habari 91 waliopitishwa...

Visual| Daraja la Busisi kutoka dakika 120 hadi 4

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Kawaida daraja hujengwa kwa kusudi la kuwa na njia ya kupitia juu ya pengo au kizuizi. Licha ya hivyo daraja...

‘Viumbe vamizi vinatishia ustawi sekta ya utalii nchini’

Na Faraja Masinde, Gazetini Changamoto ya viumbe vamizi katika nyanja ya uhifadhi imetajwa kama moja ya sababu inayodhorotesha ustawi wa sekta ya utalii na maendeleo...

GGML yatoa elimu ya haki, wajibu maadhimisho Siku ya Mtoto wa Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeshirikiana na wadau mbalimbali likiwemo Jeshi la...

Makala| Sababu wanaume kukwepa chanjo ya Uviko-19

Na Faraja Masinde, Gazetini TAFITI mbalimbali za afya zimethitisha kuwa chanjo huzuia takribani vifo milioni mbili hadi tatu kila mwaka kutokana na maradhi yanayozuilika kwa...

Makala| ‘Kamari’ ya maisha mazuri inavyopeperusha nguvu kazi ya Taifa

Na Faraja Masinde, Gazetini Tanzania, kama zilivyo nchi zingine za Afrika, imeendelea kugubikwa na changamoto ya uhaba wa ajira, hasa kwa kundi la vijana na...

Chart| Halmashauri 10 zilizozima Posi kwa muda mrefu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema wakurugenzi wa halmashauri ambao...

Infographic| Tunachofahamu kuhusu ndege mpya ya Boeing 767-300F

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 3, 2023 Tanzania imepokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, ni wazi kuwa hatua hiyo itachochea kukuza...

Zaidi ya Milioni 200 kudhibiti wanyama wakali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini SHIRIKA la Frankfurt Zoological Society(FZS) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara,wamezindua Mradi wa kudhibiti  wanyama wakali na...

Chart| Mwenendo wa Utekelezaji wa Mradi wa JNHPP

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inatekeleza ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme waMW 2,115 kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji maarufu kama Bwawa...

Chart| SADC inavyoinufaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na Ripoti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ya mwaka 2023, inaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la bidhaa za...

Infographic| Maambukizi mapya ya VVU bado ni mtego kwa vijana

*TACAIDS yasema mapambano bado hayajaisha *Nyenzo ya Kondomu yasisitizwa Na Mwandishi Wetu, Gazetini Maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI ni kama bado yameendelea kuwa mtego kwa...