25.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

Bonde la maji Nyamitita hatarini kukauka, wadau wataka hatua za haraka zichukuliwe

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti BONDE la Maji katika Kijiji cha Nyamitita Kata ya Ring’wani wilayani Serengeti mkoani Mara, lipo hatarini kukauka kutokana na shughuli za...

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahala pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti...

Dk. Biteko: Shule Binafsi zizingatie maadili ya Mtanzania

*Asema Serikali itaendelea kushirikiana na shule binafsi *Azitaka Wizara za Elimu, Fedha, Uwekezaji, Ardhi na TAMISEMI kukutana na Wadau wa Elimu Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri...

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha

Na Mwandishi Wetu, Arusha KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli...

GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Arusha Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...

Chart| Madhila yaliyowapata Waandishi wa Habari nchini Tanzania Mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MATUKIO ya wanahabari kunyimwa taarifa kwenye vyanzo vya habari yameripotiwa kuwa mengi zaidi ukilinganisha na yale ya vitisho, kukamatwa, kupigwa, kufungiwa,...

Royal Tour yazidi kulipa, Watalii kutoka nchi 18 duniani wawasili Kilwa Kisiwani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Meli ya Silver Clouds iliyobeba takribani watalii 230 kutoka katika mataifa 18 duniani, leo Aprili 24,2024 imetia nanga kwenye Hifadhi ya...

Chart| Fahamu hali ya Uhifadhi Tanzania kufikia sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah  Kairuki ametangaza rasmi matokeo ya sensa  ya wanyamapori katika mifumo  mitatu ya ikolojia ya Nyerere-Selous-Mikumi, Saadani-Wamimbiki...

TARURA Rukwa yaboresha miundombinu ya barabara

Na Catherine Sungura-TARURA Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja katika...

Chart| Mwenendo wa wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA)zinaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la matukio ya wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu...

Bodi ya Hospitali ya UDOM yavutiwa ujenzi wa jengo la vipimo vya mionzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Hospitali ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), imefanya ziara ya kukagua huduma za Hospitali zinazotolewa na Chuo hicho kwa wanafunzi...

Recent articles

spot_img