22.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Tanzania yajivunia kiwango kikubwa cha Gesi Asilia na mkakati imara wa usambazaji

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ina furaha kubwa kwa kiwango chake cha gesi asilia, ambacho kinahakikisha upatikanaji wa nishati ya kutosha kwa ajili ya maendeleo...

Watoto wahamasishwa kutunza Amani kupitia sanaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mratibu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Mratibu wa Amani Duniani wa Taasisi ya Kimataifa ya Amani ya Wanawake...

IWPG Hosts ‘5th International Loving Peace Art Competition’ Exhibition at the African Union

By Our Correspondent The International Women's Peace Group (IWPG), led by Global Region 2 Regional Director Seo-Yeon Lee, showcased the winning artworks from the '5th...

Naibu Waziri azitaka Taasisi kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Nora Damian, Gazetini Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis, amezitaka taasisi mbalimbali kutengeneza mazingira yatakayowezesha...

UN Tourism and TUI Care Foundation partner to support African artisans in rural areas

UN Tourism and TUI Care Foundation have solidified their ongoing partnership by signing an agreement at the UN Tourism headquarters in Madrid. The agreement...

Huawei and Vodacom Empower Tanzania Startups with Transformative Learning Tour

By Our Correspondent Huawei, in partnership with Vodacom, has successfully concluded a week-long exchange learning program for seven promising Tanzanian startups. This initiative, part of...

Mtazamo; Kitendawili cha watoto wa mitaani, nani akitegue?

Na Yohana Paul, Gazetini WALIZALIWA na mama John, wakalelewa na mama Jose, wakatamani maisha ya watoto wa mama Prince, wakaamua kuondoka makwao na sasa wapo...

TDI yachukua hatua kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kupanda miti 1,500

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Shirika la Together Development Initiative (TDI) lililopo Nyakato, jijini Mwanza, limechukua hatua za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa...

Vita ya kukabiliana na ukame Chunya: Ukata wakwamisha matumizi ya nishati mbadala

Na Grace Mwakalinga, Gazetini Wilaya ya Chunya, iliyopo mkoani Mbeya, ni moja ya maeneo ambayo shughuli za uchomaji wa mkaa zinafanyika kwa kasi sana, hali...

TAWA yaitumia Sabasaba kutoa fursa za uwekezaji

Na Beatus Maganja, TAWA Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imetoa wito kwa wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia. TAWA...

Dk. Biteko ahimiza Uhifadhi wa Viumbe vya Baharini na Mazingira kwa ajili ya vizazi vijavyo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bahari...

TTB kuboresha maeneo ya Uhifadhi wa Nyuki kwa Shughuli za Utalii

Na Grace Mwakalinga, Gazetini-Morogoro Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeanza mikakati ya kuboresha maeneo yote nchini yenye uhifadhi wa nyuki na kuwekea utaratibu maalum kwa...

Recent articles

spot_img