27.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Huduma ya umeme yarejea Katesh, Wizara yatoa lita 14,500 za petroli, dizeli

Na Zuena Msuya Manyara Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, kwa Niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema Wizara ya...

Wananchi Katesh, waishukuru Serikali kwa vifaa vya msaada wa kibinadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema misaada yote inayotolewa na wadau mbalimbali itawafikia...

Visual| Serikali yaendelea kupokea misaada Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imeendelea kupokea misaada mbalimbali kutoka kwenye taasisi za umma na binafsi likiwemo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umoja...

Serikali yaahidi kushirikiana na IWPG kutokomeza ukatili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali ya Tanzania imeahidi kushirikiana na Asasi ya Kimataifa ya Amani ya Wanawake(IWPG) yenye Makao Makuu yake nchini Korea Kusini katika...

Visual|Maendeleo ya uokoaji wa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Gazetini imekufanyia uchambuzi wa Taarifa fupi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa leo Desemba 5, 2023, kuhusu maendeleo...

Tanzania yapunguza vifo vya mama wajawazito mara tano zaidi ya mwaka 2016

*Nikutoka 556 mwaka 2016 hadi 104 mwaka jana Na Patricia Kimelemeta, Gazetini SERIKALI imeweza kupunguza idadi ya vifo vya mama mjamzito kutoka 556 kwa Mwaka 2016...

Waliofariki Katesh wafikia 63, majeruhi 116

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo wilayani Hanang, mkoani Manyara imefikia 63 na...

GGML yataja mbinu kuimarisha miradi ya ujenzi, Bashungwa atoa maagizo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuimarisha shughuli za kihandisi nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya UKIMWI, maambukizi mapya yashuka

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa...

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake...

Dk. Magembe: Wanasayansi fikisheni taarifa za utafiti kwa jamii

*Awataka kutumia lugha rahisi ziwafikie walengwa Na Nadhifa Omary, Morogoro SERIKALI imewataka wana sayansi nchini na wadau wa afya kufanya tafiti zitakazosaidia kuleta suluhisho juu ya...

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa...

Recent articles

spot_img