29.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Visual| Changamoto lukuki TPA ikifikia ufanisi 2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Ukosefu wa Magati yanayotosheleza ikiwamo miundombinu isiyotosheleza ya reli na barabara ni moja ya sababu zinazokwamisha bandari ya Dar es Salaam...

GGML yawaaga wanafunzi 50 waliopata mafunzo kazini, 15 waula

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewaaga na kuwapatia vyeti wanafunzi 50 kutoka vyuo vikuu waliokuwa wanafanya kazi katika mgodi...

Makala| Mazingira bora ya uwekezaji yanaivutia AngloGold Ashanti kuwekeza zaidi Tanzania 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUTOKANA na mazingira mazuri ya uwekezaji yanayoendelea kuboreshwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni AngloGold Ashanti imetangaza kuanzisha...

Visual| Siku 100 za mzozo Gaza

Mwandishi Wetu na Mashirika Leo Januari 14, 2024 zimetimia siku 100 tangu Kundi la Hamasi lilipoishambulia Israel Oktoba 7, 2023 na kusababisha mzozo mbaya katika...

Visual| Wafanyabiashara acheni kushinda na watoto sokoni-Serikali

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini Desemba 2021 Serikali ilizindua Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) Desemba 2021 ikiwa na...

Visual| Ushamiri wa VVU Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Ripoti mpya ya Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI nchini Tanzania inaonesha maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye umri zaidi ya miaka...

IWPG Global Region 2 Regional Director Seo-Yeon Lee, Exchange with ‘How Women Work’ global organization in Qatar

- Representative Evridiki Iliaki “I want to discuss a peace workshop for refugees” On the 5th of last month, the International Women's Peace Group (IWPG),...

Infographic| Tunachofahamu SIKU 74 za mzozo wa Israel-Gaza

Na Faraja Masinde, Gazetini -Kwa msaada wa mashirika mbalimbali ya habari Takriban watu 21,107 wameuwa wakiwamo watoto 7,802 wa Palestina tangu kuanza kwa mashambulizi ya Isarael...

“Tunataka wasichana wafikie ndoto zao maishani”

Na Malima Lubasha, Gazetini SHIRIKA lisilo la kiserikali la Hope for Girls and Women in Tanzania la wilayani Serengeti mkoani Mara linahifadhi wasichana 171 katika...

Visual| Watoto walivyoathirika na mafuriko Hanang

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali inaendelea na uratibu wa shughuli mbalimbali baada ya maafa ya maporomoko ya tope, mawe, magogo na maji kutoka mlima Hanang...

Dar yaandikisha Watoto 2,000 kuanza darasa la kwanza mwaka 2024

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini Watoto zaidi ya 2,000 wameandikishwa kujiunga na darasa la kwanza kwa Mwaka 2024 ambao ni kati ya umri wa miaka sita...

Chatanda aongoza wanawake kutoa msaada kwa mama aliyejifungua baada yakutolewa kwenye tope Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwenyekiti wa Umoja wa anawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda ameongoza na kundi la wanawake wa Jumuiya hiyo kwenda kukabidhi zawadi kwa mama aliyejifungua mara...

Recent articles

spot_img