23 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

IWPG hosts online workshop to raise women’s awareness of peace in Lebanon

The International Women’s Peace Group (IWPG), through its Global Region 2 led by Director Seoyeon Lee, successfully held an online peace workshop on May...

JET yaonya uwindaji haramu wa kasa

*Yasema unatishia uhai wa binadamu na bahari Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mei 23, ni Siku ya Kimataifa ya Kasa wa Baharini, Chama cha Waandishi wa Habari...

TACAIDS na CDC kuimarisha mikakati ya uendelevu wa Mwitikio wa UKIMWI nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kwa kushirikiana na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC) nchini Tanzania wamekutana...

Wizara ya Ulinzi kuanza kufufua viwanda kwa ushirikiano na sekta binafsi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imesema inaweka mkazo kwenye ushirikiano na sekta binafsi katika kufufua viwanda vya...

Tembo, Simba watesa wananchi Serengeti

Na Malima Lubasha,Gazetini-Serengeti Wakazi wa Kata ya Nagusi, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wameelezea hofu na wasiwasi mkubwa kutokana na ongezeko la matukio ya uvamizi...

Over 3,000 Gather Worldwide to Mark 6th International Women’s Peace Day with IWPG

In a powerful demonstration of global unity and commitment to peace, the International Women’s Peace Group (IWPG) held a series of commemorative events marking...

Tanzania, Namibia zaahidi kukuza ushirikiano wa kiuchumi, nishati na biashara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, hususan...

Rais Samia: Hatutatoa nafasi kwa wanaotaka kuvuruga amani ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

Wazazi saidieni malezi ya watoto ili kuboresha taaluma

Na Malima Lubasha, Gazetini– Serengeti Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mapinduzi iliyoko wilayani Serengeti, mkoa wa Mara, Jumanne Nyamhanga, amewataka wazazi na walezi kushirikiana...

Dk. Jafo ataka TBS kutoa elimu madhara ya unywaji pombe kupita kiasi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana na taasisi nyingine kutoa elimu kwa...

Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Na Mwandishi Wetu,Ivory Coast KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...

Sima apendekeza maboresho haya wizara ya elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini- Dodoma Mbunge wa Singida Mjini, Musa Sima (CCM), ameishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuzingatia maeneo matano muhimu ya kipaumbele...

Recent articles

spot_img