Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao.
“Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na...
Na Mwandishi Maalum-Gazetini
Tume ya Madini imetoa tathmini ya mafanikio yaliyopatikana katika Sekta ya Madini tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani. Mafanikio hayo yanajumuisha...
Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil
RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali imetenga Shilingi bilioni 45.1 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kudhibiti migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini,...
IWPG (International Women’s Peace Group) Global Region 2, led by Regional Director SeoYeon Lee, held an online meeting with Josiane Hajj Moussa, Chief Editor...
Rabat, Morocco
KING Mohammed VI of Morocco, accompanied by members of the royal family including Crown Prince Moulay El Hassan, Prince Moulay Rachid, and Princesses...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wafanyabiashara wa betri chakavu kuzingatia kanuni na maelekezo waliyopewa katika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeitaka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kuongeza juhudi katika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...
Seoul, South Korea
The Global Region 2 of the International Women’s Peace Group (IWPG), under the leadership of Regional Director Seo-yeon Lee, recently signed a...
Jeonju, Korea Kusini.
Tamasha la siku 20 la Ufunuo lililofanyika huko Jeonju, Mkoa wa Jeolla Kaskazini, limehitimishwa kwa sherehe kubwa. Tukio hili lililohudhuriwa na...
*Wananchi wakubali yaishe
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), ikishirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama, ikiwa...
By Our Correspondent
UN Tourism and the TUI Care Foundation launch ‘Colourful Cultures’, a call for proposals focused on supporting the creative talent of a...