27.2 C
Dar es Salaam

Makala

Ripoti| Wasichana Kidato cha Nne wanaongoza kuwa na wapenzi shule

Kutoka katika Ripoti ya Shirika la Haki Elimu Tanzania ya Utafiti wa Elimu ya Msingi na Sekondari kwa wasichana  ya Mwaka 2019 utafiti ulifanyika kuangalia athari anazozipata...

Visual| Mkwanja wa Azam na msisimko wake TPL 2021-22

HAKUNA namna nyingine zaidi ya uwekezaji wa maana ndipo maendeleo ya mchezo wa soka yaweze kuonekana. Uwekezaji si tu huziwezesha klabu kumudu gharama za...

Infographic| Makinda wa mishahara minono England

INAFAHAMIKA kuwa ndiyo ligi maarufu na tajiri zaidi duniani, zikithibitisha hilo kwa namna klabu zake zinavyotumia fedha nyingi kwenye soko la usajili barani Ulaya.  Aidha,...

Visualization: Kilimo kinavyohatarisha mazingira

SEKTA ya kilimo imekuwa na tija kubwa kwa maendeleo ya nchi nyingi barani Afrika, ikiwamo Tanzania. Huku kikiwa chanzo cha ajira kwa asilimia zaidi ya...

Infographic| Homa ya uti wa mgongo ni nini?

KWA sasa, ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ni tishio barani Afrika, kwa mujibu wa Shirika la Afya la Kimataifa (WHO). Jamhuri ya...

Infographic| Duterte; Rais asiyeishiwa vituko anayewindwa na ICC

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inaendesha upelelezi dhidi ya Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, juu ya madai ya mauaji aliyotekeleza katika operesheni yake...

Rugemalira na msoto wa miaka minne gerezani

NI miaka minne imepita tangu alipokuwa uraiani na hatimaye leo mfanyabiashara James Rugemalira ameuacha mlango wa gereza baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

Visual| Uchumi wa Buluu; Maajabu ya bahari kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TAFITI zimebaini kuwa asilimia 71 ya uso wa dunia ni maji na asilimia 97 ya maji hayo ni bahari. Ikimaanisha, eneo...

Visualization| Yaliyojiri usajili kiangazi Ulaya

HATIMAYE dirisha kubwa la usajili ambalo aghalabu hufanyika majira ya kiangazi barani Ulaya, lilifungwa hivi karibuni (Agosti 31). Mengi yalishuhudiwa, kubwa ikiwa ni Lionel...

Visualization| Mitihani Darasa la Saba na ongezeko la watahiniwa

KESHO jumla ya wanafunzi 1,132,143 wataanza mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi (PSLE) kwa mwaka huu na idadi hiyo inatokana na shule 17,585 zilizoko...

Visualization| Mwakinyo na rekodi, ubabe wake ulingoni

JINA la Hassan Mwakinyo limeendelea kuchukua nafasi yake kwenye mchezo wa ngumi za kulipwa hapa nchini, hasa baada ya kumtwanga bondia wa kimataifa wa...

Infographic| Askofu Gwajima, Silaa kwenye mtego wa kihistoria

HIVI karibuni, siasa za Tanzania zilishuhudia Bunge likiazimia adhabu ya kuwafungia vikao viwili wabunge na makada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Josephat Gwajima...

Recent articles

spot_img