27.2 C
Dar es Salaam

Makala

Makala: Wazazi, wadau wataka fursa nyingine waliokatizwa masomo kwa mimba

CHANGAMOTO za maisha ikiwamo ukosefu wa mahitaji muhimu kwa wasichana walioko shule ni moja ya vichochezi vinavyosababisha wengi kuishia kupata ujauzito hali inayokosesha fursa...

Visualization| Serikali inavyovuna fedha kwenye michezo ya kubahatisha

UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo, ukuaji huo...

Ripoti| Mitandao inavyogeuka tishio maisha ya watu

LICHA ya ujio wa mitandao ya kijamii kuwa na faida nyingi katika nyanja mbalimbali, ikiwamo ya kiuchumi, ukweli usio na shaka ni kwamba imekuwa...

Infographic| Mazingira ya elimu kwa Wanafunzi wenye Ulemavu Tanzania

Ripoti ya Utafiti juu ya Upataji Elimu ya Awali kwa Watoto wenye Ulemavu Tanzania Bara, iliyozinduliwa Septemba, 2021 na Shirika la Haki Elimu Tanzania uliohusisha maeneo matatu...

Infographic| Unaipenda Yanga, unafahamu yanayokugusa Katiba Mpya?

MIEZI michache iliyopita, klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wake iliwasilisha kwa wananchama wake mabadiliko 10 yatakayofanyika katika Katiba yake. Ifahamike kuwa hiyo ni hatua...

Infographic| Unyanyapaa, tabia hatarishi bado ni mwiba mapambano VVU

PWANI, TANZANIA UNYANYAPAA na ubaguzi umetajwa kuwa bado ni kikwazo katika mapembano dhidi ya UKIMWI nchini. Hayo yamebainishwa hivi karibuni kwenye Warsha ya siku tatu ya...

Visualization| Miaka 60 ya Uchumi Tanzania

KAMA inavyofahamika kwamba Desemba 9, kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60...

Visualization| Miaka 60 ya Madini Tanzania

TANZANIA iko kwenye mfululizo wa kueleza mafanikio yaliyopatikana kwa miaka 60 tangu ilipopata Uhuru wake Desemba 9, 1961. Katika kuelekea kilele cha miaka 60 ya...

Miaka 60 ya Uhuru| Tanzania ilivyosukwa

DESEMBA 9 kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60 tangu ilipojitoa kwenye...

Infographic| Tanzania ilivyonufaika na Trilioni 1.3

Kwa sasa unaweza kusema ni kama vyuma vimeachia! Hii ni kutokana na miradi yenye thamani ya Sh trilioni 1.3 itakayotekelezwa na Serikali ya Rais...

Infographic| Ukosefu wa elimu ya upangaji bajeti inavyovuruga familia

KUSUASUA kwa Uchumi ni miongoni mwa sababu ya migogoro kuanzia ngazi ya familia, na wakati mwingine kupelekea uwepo wa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

Sensa 2022| Fahamu idadi ya Watoto Tanzania kwa umri

Na Faraja Masinde, Gazetini Agosti 23, mwaka huu Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya Watu na Makazi ikiwa ni sensa ya sita kufanyika tangu Muungano wa...

Recent articles

spot_img