31.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Mwenge wa Uhuru kukagua miradi yenye thamani ya Sh Trilioni 8.5 Pwani

Na Grace Mwakalinga, Gazetini-BAGAMOYO ZAIDI ya miradi 120 yenye thamani ya sh. Trilioni 8.5  kati yake, miradi 18 itawekwa jiwe la msingi, 22 itazinduliwa na...

IWPG Global Region 2, Partner Country, Colombia The 6th ‘International Loving Peace Art Competition’

*Hosted in collaboration with Colegio Alfonso López Pumare Ced Farallons School *Delivering the message of peace to children and adolescents through pictures The International Women's Peace...

Dk. Biteko: Mtu wa kwanza kujali usalama wake ni mwajiriwa

*Asisitiza umuhimu wa elimu ya usalama mahala pa kazi *Aipongeza OSHA kuboresha utendaji, ahimiza uhifadhi wa mazingira Na Mwandishi Wetu, Arusha Naibu Waziri Mkuu na...

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

Bonde la maji Nyamitita hatarini kukauka, wadau wataka hatua za haraka zichukuliwe

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti BONDE la Maji katika Kijiji cha Nyamitita Kata ya Ring’wani wilayani Serengeti mkoani Mara, lipo hatarini kukauka kutokana na shughuli za...

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahala pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti...

Dk. Biteko: Shule Binafsi zizingatie maadili ya Mtanzania

*Asema Serikali itaendelea kushirikiana na shule binafsi *Azitaka Wizara za Elimu, Fedha, Uwekezaji, Ardhi na TAMISEMI kukutana na Wadau wa Elimu Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri...

GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Arusha Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...

Chart| Madhila yaliyowapata Waandishi wa Habari nchini Tanzania Mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MATUKIO ya wanahabari kunyimwa taarifa kwenye vyanzo vya habari yameripotiwa kuwa mengi zaidi ukilinganisha na yale ya vitisho, kukamatwa, kupigwa, kufungiwa,...

Royal Tour yazidi kulipa, Watalii kutoka nchi 18 duniani wawasili Kilwa Kisiwani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Meli ya Silver Clouds iliyobeba takribani watalii 230 kutoka katika mataifa 18 duniani, leo Aprili 24,2024 imetia nanga kwenye Hifadhi ya...

TARURA Rukwa yaboresha miundombinu ya barabara

Na Catherine Sungura-TARURA Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja katika...

Chart| Mwenendo wa wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA)zinaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la matukio ya wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu...

Recent articles

spot_img