23.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Balozi Nchimbi akabidhiwa ‘kifimbo’ cha Mwalimu

Na Mwandhishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel  Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere,...

Serikali yawasilisha  bungeni vipaombele vitano vya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Mwandishi wetu Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi...

Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema  amesema kuwa mwaka huu Serikali inatarajia kujenga mradi mkubwa wa...

DCEA yakamata kilo 4,568 za dawa za kulevya

*Tani 14 kemikali bashirifu zazuiwa kuingia nchini Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya...

Serikali kuendeleza mabonde kukabiliana na mafuriko

Na Mwandishi wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

WHI yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa nyumba 101 Mikocheni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Uwekezaji na Fedha ya Watumishi Housing Investment (WHI) imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba...

Simbachawene: Uhamisho ni haki ya mtumishi, waajiri watumie busara

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema kuwa uhamisho ni haki...

Kanisa la Shincheonji lakanusha Ripoti ya Le Parisien, ladai ni upotoshaji

Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa limekanusha vikali taarifa iliyochapishwa na gazeti la Le Parisien Aprili 7, 2025, likiitaja kama yenye upendeleo, upotoshaji...

Rais Samia mgeni rasmi Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’

Na Esther Mnyika, Gazetini RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za wanahabari zinazojulikana kama Samia Kalamu...

Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...