22.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mradi wa USAID na MJUMITA ulivyobadili mtazamo wa Uhifadhi mkoani Morogoro

Na Faraja Masinde, Gazetini Kwa miaka ya nyuma wananchi walikuwa hawaoni umuhimu wa uhifadhi wa mazingira na miongoni mwa sababu za wao kufanya hivyo ilikuwa...

Dk. Biteko awaasa wananchi wa Bukombe Matumizi ya Pori la Kigosi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, mkoani Geita, amewataka...

Serikali yachukua hatua kupunguza migongano ya binadamu na wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali ya Tanzania imeanzisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika maeneo yanayopakana na hifadhi, ikiwa ni juhudi za kuondoa migongano...

Chart| Sababu za waliojifungua kukataa kurudi shule

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Elimu ni msingi muhimu kwa maendeleo ya jamii na uchumi wa nchi yoyote. Hata hivyo, takwimu za Ofisi ya Rais Tamisemi...

Ushoroba wa Nyerere-Selous-Udzungwa: Hatua za urejeshaji na ushiriki wa USAID

Na Faraja Masinde, Gazetini Ushoroba wa Nyerere-Selous-Udzungwa ni eneo muhimu la kijiografia na kiikolojia nchini Tanzania. Eneo hili linaunganisha Hifadhi ya Taifa ya Nyerere (Selous)...

GGML inavyotumia teknolojia kuigeuza Geita kuwa ya kijani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo...

Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa: Urithi wa Asili wa Tanzania

*Mchango wa Mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili watajwa Na Faraja Masinde-Aliyekuwa Mang'ula Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa, mojawapo ya hifadhi za asili zinazoonekana kuvutia...

Dk. Biteko: Mazingira ni kila kitu, tekelezeni majukumu yenu

Na Mwandishi Gazetini, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa Idara na Vitengo vya Mazingira katika wizara na...

Dk. Mpango akerwa na uchafu soko la Ilala

*Atoa maagizo Dawasa kutoa maji yote machafu yaliyoatuama kwenye mifereji Na Grace Mwakalinga, Gazetini MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango ametoa muda wa wiki moja kwa...

Serikali kuzindua sera ya Taifa Uchumi wa Buluu

Na Nora Damian, Gazetini Sera ya Taifa ya Uchumi wa Buluu inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Juni 5, mwaka huu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku...

Ndejembi atembelea Kiwanda cha Mtibwa, aitaka OSHA kukamilisha uchunguzi wa ajali

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi, ametembelea kiwanda cha kuzalisha sukari cha...

Chart| Huduma za Mahakama kwa watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, ametangaza mafanikio makubwa katika sekta ya ustawi wa...