KINSHASA, DRC
BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur
Koffi ana...
KAMPALA, Uganda
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya.
Na badala yake,...
TEHRAN, Iran
WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel.
Hiyo ni baada ya Israel na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ACHANA na tambo za mashabiki, sare ya kutokufungana ndiyo iliyohitimisha dakika 90 za mchezo wa 'derby' ya Kariakoo kati ya wenyeji...
TEHRAN, Iran
HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran.
Kubwa zaidi, ni mashambulizi...
TEHRAN, Iran
ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel.
Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli.
Huwa tunaanza...
WASHINGTON DC, Marekani
MAREKANI na mshirika wake mkubwa, Israel, zimeanzisha mashambulizi makubwa ya kivita dhidi ya Iran.
Milipuko ya mabomu imesikika katika miji mingi ya Iran,...
LONDON, Uingereza
MIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliushangaza ulimwengu wa soka walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Walifanya hivyo msimu wa 2015-16.
Kwa sasa,...
TEHRAN, Iran
NI rasmi sasa, kwamba kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameuawa na vikosi vya Marekani vinavyoshirikiana na Israel.
Marekani na washirika wake, Israel, wameanzisha...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, huenda asicheze dhidi ya Manchester City katika mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Timu hizo zitakwaana...