27.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mabondia wamchana ‘live’ Amos Mwamakula baada ya kushindwa kesi ya Vitasa na Azam Media

Na Mwandishi Wetu Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...

NIC yajivunia dhamana ya bilioni 292, RC Mtanda aipa mtihani

Na Mwandishi wetu, Mwanza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu amesema kwa sasa shirika lina mtaji mkubwa...

Dar yatajwa kinara watoto wa mtaani

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa  kuwa na watoto wengi...

Majaliwa: Serikali itaendeleza mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwamo Japan...

Simchimba aitaka Ligi Kuu, tatu zamfuata

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...

Simba yatua Dar na kauli ya kishujaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kikosi cha Simba kimewasili Dar es Salaam kikitokea Zanzibar kwenye mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi RS Berkane...

JET yaonya uwindaji haramu wa kasa

*Yasema unatishia uhai wa binadamu na bahari Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mei 23, ni Siku ya Kimataifa ya Kasa wa Baharini, Chama cha Waandishi wa Habari...

TACAIDS na CDC kuimarisha mikakati ya uendelevu wa Mwitikio wa UKIMWI nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kwa kushirikiana na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC) nchini Tanzania wamekutana...

Wizara ya Ulinzi kuanza kufufua viwanda kwa ushirikiano na sekta binafsi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imesema inaweka mkazo kwenye ushirikiano na sekta binafsi katika kufufua viwanda vya...

Tembo, Simba watesa wananchi Serengeti

Na Malima Lubasha,Gazetini-Serengeti Wakazi wa Kata ya Nagusi, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wameelezea hofu na wasiwasi mkubwa kutokana na ongezeko la matukio ya uvamizi...

Over 3,000 Gather Worldwide to Mark 6th International Women’s Peace Day with IWPG

In a powerful demonstration of global unity and commitment to peace, the International Women’s Peace Group (IWPG) held a series of commemorative events marking...

Tanzania, Namibia zaahidi kukuza ushirikiano wa kiuchumi, nishati na biashara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, hususan...