29.2 C
Dar es Salaam

Makala

Visual: Elimu bado inahitajika kudhibiti TB nchini

Na Faraja Masinde, Gazetini Licha ya kazi kubwa inayofanywa na Serikali katika kudhibiti Kifua Kikuu(TB) nchini ikiwamo kutoa matibabu bure lakini bado takwimu zinaonyesha kwamba...

Visual| Ilichukua muda gani kwa idadi ya watu duniani kuongezeka kwa bilioni moja?

Na Jackline Jerome, Gazetini Kwa mujibu wa Ripoti ya Makadirio ya Kati ya Umoja wa Mataifa(UN's-Mid Year) Mwaka 2023 Dunia imefikisha watu bilioni 8. Idadi...

Visual| Moto unavyotikisa uwepo wa Mlima Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Takwimu za Wizara ya Maliasili na Utalii nchini zinachambua kuwa Sekta ya Utalii inachangia asilimia 17.5 ya Pato la Taifa huku...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-2

Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema pia hupata ujauzito mapema, hali ambayo huwaweka...

Visual| Sababu za kuhitaji nishati safi ya kupikia

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Wizara ya Nishati nchini zinaonyesha kuwa watu 33,000 wanafariki dunia kila mwaka nchini kutokana na kupikia mazingira yenye moshi...

Utafiti| Wanafunzi ‘wamesahaulika’ mapambano ya VVU

*Serikali inakumbushwa kuchukua hatua ikiwamo kubadili sera*Wazazi nao watakiwa kutokubaki nyuma Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa imepita tangu janga la Virusi...

Utekelezwaji duni wa maagizo ya Kamati za Kudumu za Bunge

Na, Anoth Paul, Gazetini KUMEKUWA na kusuasua kwa namna utekelezwaji wa maagizo ya Kamati za Bunge unavyosuasua kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi...

Chati| Sababu za kushuka kwa ufaulu shule kuu ya Sheria Tanzania

Na, Anoth Paul, Gazetini Kwa mujibu wa Matokeo mwaka 2022 ni asilimia 4.1 tu ya wahitimu wamefaulu. Ndoto ya wanafunzi 633 katika Shule Kuu ya...

Visual| Ajali za Pikipiki tishio MOI

Na Anoth Paul, Gazetini Ajali zitokanazo na pikipiki zimesababisha idadi kubwa ya wagonjwa katika Taasisi ya Mifupa kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Asilimia 70...

Elizabeth; Mama wa Watoto sita anayepambana na maisha Mvomero

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini “Acha…Si unaumwa wewe? Sina pesa mimi ya kukukimbiza hospitali sahivi,” Ni maneno ya mama anayemkataza mtoto wake kufanya michezo ya hatari...

MAP| Wananchi Morogoro wanavyopambana na Malaria kwa watoto

*Ni mfereji uliopewa jina la ‘Aunty Malaria’ kwasababu ya uzalishaji wa mbu katika makazi yaliyo karibu *Pamoja na ugumu wa mazingira hayo, wananchi wanajitahidi kufanya...

Makala| Josephine; Shujaa anayeleta tabasamu kwa watoto wenye ulemavu Morogoro

*Zaidi ya watoto 600 wamenufaika na mpango huu *Baadhi ya wazazi waliona nimegeuza watoto wao kitega uchumi Na Tulinagwe Malopa, Gazetini "Ilikuwa ni baada ya kujikuta...

Recent articles

spot_img