27.2 C
Dar es Salaam

Makala

GGML yawanoa Wanafunzi Nyamkumbu kuhusu taaluma ya madini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo...

Visua| Hii ndiyo Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Amani

Na Faraja Masinde, Gazetini NI Hifadhi iliyotawaliwa na ukimya mkubwa. Kelele zake utazisikia kupitia ndege tu wanaoruka kutoka tawi moja kwenda jingine wakijitafutia chakula chao...

Makala| Elimu bora, Mazingira bora inavyolipa Muheza

Na Faraja Masinde, Muheza “Hata sisi walimu tumejifunza kwamba tunapofundisha hatutakiwi kutumia dakika zote 45 darasani hapana, kuna muda wa kuwatoa wanafunzi nje ya darasa...

Makala| Safari ya Siah Malle katika uhandisi inavyochochea vipaji vipya vya wanawake wenye ndoto kubwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Siah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja dhana iliyojengeka na kuwagawa wanawake na wanaume kwenye uwanja wa taaluma...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

GGML yadhamiria kuendeleza wahandisi wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya AngloGold Ashanti - Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya...

GGML inavyoacha alama isiyofutika Geita

*...yatoa msaada wa madawati 8,823 Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya...

Makala| Wananchi wanavyoteswa na Watendaji wadanganyifu

Na Faraja Masinde, Gazetini MACHI, 2022, Zahanati ya Ihumwa mjini Dodoma, iliweka wazi changamoto ya uhaba wa magodoro katika wodi ya wazazi. Unaizungumzia zahanati iliyoko...

DCEA: Kila mtu anawajibika kudhibiti dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa matumizi ya dawa za kulevya nchini yanadhibitiwa, jamii imeaswa kuelimisha watoto na vijana juu ya athari zitokanazo na...

Mwandishi Gazetini kuwania tuzo EJAT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwandishi Faraja Masinde kutoka tovuti ya www.gazetini.co.tz inayo chini ya Gazetini Communications ni kati ya waandishi wa habari 91 waliopitishwa...

Makala| Sababu wanaume kukwepa chanjo ya Uviko-19

Na Faraja Masinde, Gazetini TAFITI mbalimbali za afya zimethitisha kuwa chanjo huzuia takribani vifo milioni mbili hadi tatu kila mwaka kutokana na maradhi yanayozuilika kwa...

Makala| ‘Kamari’ ya maisha mazuri inavyopeperusha nguvu kazi ya Taifa

Na Faraja Masinde, Gazetini Tanzania, kama zilivyo nchi zingine za Afrika, imeendelea kugubikwa na changamoto ya uhaba wa ajira, hasa kwa kundi la vijana na...

Recent articles

spot_img