27.2 C
Dar es Salaam

Elimu

Chati| Sababu za kushuka kwa ufaulu shule kuu ya Sheria Tanzania

Na, Anoth Paul, Gazetini Kwa mujibu wa Matokeo mwaka 2022 ni asilimia 4.1 tu ya wahitimu wamefaulu. Ndoto ya wanafunzi 633 katika Shule Kuu ya...

Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

Visual| Ukosefu wa elimu unachochea ukatili Tanzania

Na Jackline Jerome, Gazetini Asilimia 53 ya wanaume ambao hawana elimu wanaongoza kuwafanyia ukatili wenza wao. Utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia 42 ya wanawake waliowahi kuolewa...

Serikali yatenga Bilioni 8 kusaidia watoto wanaotoka familia maskini

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali imeanzisha Mfuko maalumu utakaowasaidia wanafuzni wanaotoka katika mazingira magumu ili waweze kumudu masomo yao nakupunguza utegemezi kutoka kwa watu mbalimbali...

Visual| TB bado ni janga nchini

Pamoja na nguvu kubwa ambayo imekuwa ikitumika na Serikali ya Tanzania katika kutokomeza Kifua Kikuu lakini takwimu zinaonyesha kwamba bado kuna kazi kubwa ya...

Visual| Tunayofahamu kuhusu mwaka mpya wa masomo Tanzania

Mwaka mpya wa masomo nchini Tanzania umeanza tangu Jumatatu Januari 17, 2022 ambapo shule za Elimu Msingi na Sekondari zimefunguliwa. Upekee ulioshuhudiwa kwa mwaka huu...

Visualization| Mwarobaini wa madarasa shule za sekondari

SERIKALI imekamilisha ujenzi wa madarasa 15,000 kwa asilimia 95 katika mikoa yote ya Tanzania bara, huku asilimia chache ikisalia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo...

Makala: Wazazi, wadau wataka fursa nyingine waliokatizwa masomo kwa mimba

CHANGAMOTO za maisha ikiwamo ukosefu wa mahitaji muhimu kwa wasichana walioko shule ni moja ya vichochezi vinavyosababisha wengi kuishia kupata ujauzito hali inayokosesha fursa...

Ripoti| Mitandao inavyogeuka tishio maisha ya watu

LICHA ya ujio wa mitandao ya kijamii kuwa na faida nyingi katika nyanja mbalimbali, ikiwamo ya kiuchumi, ukweli usio na shaka ni kwamba imekuwa...

Infographic| Mazingira ya elimu kwa Wanafunzi wenye Ulemavu Tanzania

Ripoti ya Utafiti juu ya Upataji Elimu ya Awali kwa Watoto wenye Ulemavu Tanzania Bara, iliyozinduliwa Septemba, 2021 na Shirika la Haki Elimu Tanzania uliohusisha maeneo matatu...

Infographic| Unyanyapaa, tabia hatarishi bado ni mwiba mapambano VVU

PWANI, TANZANIA UNYANYAPAA na ubaguzi umetajwa kuwa bado ni kikwazo katika mapembano dhidi ya UKIMWI nchini. Hayo yamebainishwa hivi karibuni kwenye Warsha ya siku tatu ya...

Miaka 60 ya Uhuru| Tanzania ilivyosukwa

DESEMBA 9 kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60 tangu ilipojitoa kwenye...

Recent articles

spot_img