22.2 C
Dar es Salaam

Watoto

‘Acheni kutumia chupa kunyonyesha watoto’

Na Faraja Masinde, Gazetini Wataalamu wa lishe wameshauri akina mama wanaonyonyesha kuacha kutumia chupa zinazouzwa maduka ya dawa kunyonyeshea watoto kwani hatua hiyo inachochea watoto...

GGML inavyoacha alama isiyofutika Geita

*...yatoa msaada wa madawati 8,823 Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya...

Watoto walioweka rekodi GGML KiliChallenge, wang’ara siku ya mashujaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama amewapongeza watoto Abel Mussa na Rebbeca Damian wenye...

Mtoto wa miezi miwili anyweshwa sumu ya kuulia wadudu Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini NI unyama! Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kenokwe kata ya Mosongo wilayani Serengeti mkoani...

Visual| Fahamu idadi ya Watoto Tanzania

*Serikali iongeze nguvu vijijini Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, idadi ya Watoto nchini Tanzania ni...

Visual| Idadi ya watu Tanzania kwa umri

Kulingana na matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Oktoba 23, 2022 yanaonyesha kwamba idadi ya Watanzania wanaoishi maeneo ya Vijijini ni karibu...

GGML yatoa elimu ya haki, wajibu maadhimisho Siku ya Mtoto wa Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeshirikiana na wadau mbalimbali likiwemo Jeshi la...

Chart| Hali ya ukosefu wa chanjo kwa watoto Kusini na Mashariki mwa Afrika

Na Hassan Daudi, Gazetini Ripoti ya Mwaka ya Hali ya Watoto Duniani iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) inayofahamika kama "State...

Janga la UKIMWI linavyoongeza watoto yatima Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ripoti ya mwaka 2019 iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto(UNICEF) Tanzania, zinaonyesha kuwa watoto Milioni 1.1 wenye...

Visual| Wasichana milioni 4.3 wako hatarini kukeketwa 2023

Na Jackline Jerome, Gazetini Ripoti ya pamoja ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi(UNFPA), Dk....

Infographic| Hali ilivyo Uturuki, Syria baada ya matetemeko ya ardhi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watu 7,266 wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine 35,626 wakijeruhiwa kufuatia matetemeko ya ardhi yaliyozikumba nchi za Uturuki na Syria usiku wa...

MAP| Wananchi Morogoro wanavyopambana na Malaria kwa watoto

*Ni mfereji uliopewa jina la ‘Aunty Malaria’ kwasababu ya uzalishaji wa mbu katika makazi yaliyo karibu *Pamoja na ugumu wa mazingira hayo, wananchi wanajitahidi kufanya...

Recent articles

spot_img