Na, Anoth Paul, Gazetini
KUMEKUWA na kusuasua kwa namna utekelezwaji wa maagizo ya Kamati za Bunge unavyosuasua kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi...
Na Anoth Paul, Gazetini
Ajali zitokanazo na pikipiki zimesababisha idadi kubwa ya wagonjwa katika Taasisi ya Mifupa kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Asilimia 70...
Na Tulinagwe Malopa, Gazetini
“Acha…Si unaumwa wewe? Sina pesa mimi ya kukukimbiza hospitali sahivi,” Ni maneno ya mama anayemkataza mtoto wake kufanya michezo ya hatari...
*Ni mfereji uliopewa jina la ‘Aunty Malaria’ kwasababu ya uzalishaji wa mbu katika makazi yaliyo karibu
*Pamoja na ugumu wa mazingira hayo, wananchi wanajitahidi kufanya...
*Zaidi ya watoto 600 wamenufaika na mpango huu
*Baadhi ya wazazi waliona nimegeuza watoto wao kitega uchumi
Na Tulinagwe Malopa, Gazetini
"Ilikuwa ni baada ya kujikuta...
Na Faraja Masinde, Gazetini
"Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...
Na Faraja Masinde, Gazetini
"Nilipata maambukizi ya VVU nikiwa na miaka 24, baada ya kupata mwanaume mwenye pesa sana lakini kumbe alikuwa na maambukizi, ndugu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa Magharibi, Shinyanga upande wa Kusini na Mwanza...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Hadi sasa Tanzania imefanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa Watoto 27,952,164 wenye umri chini ya miaka mitano.
Idadi hiyo ni baada ya...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Agosti 23, mwaka huu Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya Watu na Makazi ikiwa ni sensa ya sita kufanyika tangu Muungano wa...
Na Jackline Jerome, Gazetini
Asilimia 53 ya wanaume ambao hawana elimu wanaongoza kuwafanyia ukatili wenza wao.
Utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia 42 ya wanawake waliowahi kuolewa...
Na Faraja Masinde, Gazeti
Kwa miaka ya nyuma suala la usajili wa watoto na kupata vyeti vya kuzaliwa ilikuwa siyo kipaumbele cha wazazi walio wengi,...