24.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Serikali: GGML haija-blacklist vijana nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa...

Tunachofahamu kuhusu Usambara Eagle Owl

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na machapisho mbalimbali, Bundi ni miongoni mwa ndege ambae huishi kutegemea nyama kama chakula chake kikuu. Bundi hutafuta mawindo yake nyakati...

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali kwa mazingira mazuri ya uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza serikali kwa kujenga mazingira bora ya uwekezaji nchini ikiwemo kuhakikisha kwamba kunakuwa...

Shoroba za Derema-Amani Nilo zitakavyochochea ustawi wa wanyama Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali iko katika mbioni kuunganisha Shoroba mbili za Derema na Amani Nilo zinazopatikana ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mazingira Asilia...

Makala| Elimu bora, Mazingira bora inavyolipa Muheza

Na Faraja Masinde, Muheza “Hata sisi walimu tumejifunza kwamba tunapofundisha hatutakiwi kutumia dakika zote 45 darasani hapana, kuna muda wa kuwatoa wanafunzi nje ya darasa...

Makala| Safari ya Siah Malle katika uhandisi inavyochochea vipaji vipya vya wanawake wenye ndoto kubwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Siah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja dhana iliyojengeka na kuwagawa wanawake na wanaume kwenye uwanja wa taaluma...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

Hii ni Afrika: Onesho la sanaa ya muziki wa majukwaa linalolenga kufufua sanaa hiyo Tanzania

*Ni onesho linalolenga kufufua, kurejesha na kupeleka sanaa ya majukwaa ya Tanzania kimataifa *Litafanyika Agosti 12 na 13, 2023 katika Makumbusho ya Taifa jijini Dar...

GGML yadhamiria kuendeleza wahandisi wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya AngloGold Ashanti - Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya...

T-HAKIKI mkombozi wa kukabiliana na mbegu bandia kwa wakulima

*Wakulima waita wenzao kujisajili Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo...

‘Watoto 340 watelekezwa’ ndani ya miezi 12 Songwe

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe zinaonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja wa...

‘Acheni kutumia chupa kunyonyesha watoto’

Na Faraja Masinde, Gazetini Wataalamu wa lishe wameshauri akina mama wanaonyonyesha kuacha kutumia chupa zinazouzwa maduka ya dawa kunyonyeshea watoto kwani hatua hiyo inachochea watoto...

Recent articles

spot_img