23.7 C
Dar es Salaam

Jamii

Mabadiliko tabianchi kikwazo Ajenda 10/30

Na Faraja Masinde, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi imeelezwa kuwa moja ya changamoto inayoathiri sekta ya kilimo nchini hatua ambayo imesababisha hata mbegu zilizopo kushindwa kustahimili...

Tekelezeni miradi bila kuichafua Serikali-REA

Na Veronica Simba - REA Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini, kuhakikisha wanafanya...

Fahamu| Manyara yaongoza kwa kuwa na wanaume wengi

Na Mwandish Wetu, Gazetini Kulingana na Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yaliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS), Manyara ndiyo...

Visual| Kituo cha Maarifa Manyoni kinavyosaidia mapambano ya VVU

*Kamati ya Bunge ya Afya na UKIMWI yapongeza Na Nadhifa Omar, Singida Kituo cha Maarifa cha Manyoni mkoani Singida kimechangia katika mikakati ya Taifa ya utoaji...

Rais Samia atunukiwa PHD India, aitoa kwa Watoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 10, 2023 ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa)...

GGML yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited imenyakua tuzo nne ikiwamo mshindi wa jumla katika maonesho ya teknolojia ya madini yaliyofanyika kwa...

Waziri madini atembelea banda la GGML, ashuhudia mradi wa uwanja wa kisasa

Na ,wandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho ya sita ya teknolojia...

Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure

*Wanawake wapewa neno Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi...

GGML yawanoa Wanafunzi Nyamkumbu kuhusu taaluma ya madini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo...

Wafanyakazi GGML wajitokeza kuchunguzwa saratani

*Madaktari watoa ujumbe kwa jamii Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) Ijumaa Septemba 22, 2023 wamejitokeza katika maonesho ya...

Makamu Rais GGML atembelea maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAKAMU Rais wa kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania-GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo leo Ijumaa ametembelea...

GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa kiasi cha Sh milioni 150 kudhamini...

Recent articles

spot_img