24.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Chart| Maambukizi ya VVU kwa vijana wanaojiunga JKT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Februari 3, 2023 Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI iliwasilisha taarifa yake bungeni kwa kipindi cha Februari 2022 hadi Februari...

Visual| Mapambano ya VVU Tanzania na mchango wa PEPFAR

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ikiwa ni zaidi ya miaka 40 sasa tangu kuwapo kwa janga la Virusi Vya UKIMWI, Serikali ya Tanzania imesema kuwa imefanikiwa...

Bunge laikumbusha Serikali kugeukia shoroba

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali imeshauriwa kuchukua hatua madhubuti ikiwamo kutoa elimu kwa wananchi na kuweka alama za kudumu katika maeneo yenye mapitio ya wanayama...

Visual| Kila mmoja anawajibika kuepusha athari za wanyamapori

Na Faraja Masinde, Gazetini Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mkakati wa Kitaifa wa Kudhibiti Migogoro ya Binadamu - Wanyamapori 2020 -...

Makala| Ukosefu wa mikakati unavyoinyima Tanzania utajiri kupitia shoroba

Na Faraja Masinde, Gazetini Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Sekta ya Utalii nchini inachangia asilimia 17.5 ya Pato la Taifa.Kama hiyo haitoshi...

Visual| Moto unavyotikisa uwepo wa Mlima Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Takwimu za Wizara ya Maliasili na Utalii nchini zinachambua kuwa Sekta ya Utalii inachangia asilimia 17.5 ya Pato la Taifa huku...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-2

Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema pia hupata ujauzito mapema, hali ambayo huwaweka...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-1

Na Mwandishi Wetu, Gazetini “Mwanangu wa kwanza alifariki dunia wakati nikijifungua, madaktari waliniambia kuwa njia yangu ya uzazi ilikuwa ndogo. Nilikuwa na miaka 17 tu...

Visual| Sababu za kuhitaji nishati safi ya kupikia

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Wizara ya Nishati nchini zinaonyesha kuwa watu 33,000 wanafariki dunia kila mwaka nchini kutokana na kupikia mazingira yenye moshi...

Serikali, wataalamu wa nishati jadidifu kuwawezesha wanahabari kuripoti maswala ya nishati safi kwa weledi 

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini Wakati wiki ya kwanza ya mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP27 ukiendelea Sharm el-Sheikh nchini Misri, Novemba...

Utafiti| Wanafunzi ‘wamesahaulika’ mapambano ya VVU

*Serikali inakumbushwa kuchukua hatua ikiwamo kubadili sera*Wazazi nao watakiwa kutokubaki nyuma Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa imepita tangu janga la Virusi...

Utekelezwaji duni wa maagizo ya Kamati za Kudumu za Bunge

Na, Anoth Paul, Gazetini KUMEKUWA na kusuasua kwa namna utekelezwaji wa maagizo ya Kamati za Bunge unavyosuasua kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi...