Treni au Garimoshi ni aina ya usafiri ambao umekuwapo miaka na miaka. Historia ya treni inahusu miaka mia mbili iliyopita ya ustaarabu wa kibinadamu...
Pamoja na nguvu kubwa ambayo imekuwa ikitumika na Serikali ya Tanzania katika kutokomeza Kifua Kikuu lakini takwimu zinaonyesha kwamba bado kuna kazi kubwa ya...
Tanzania imekuwa ni kati ya nchi zinazopambana kwa dhati kuhakikisha kuwa inafikia sehemu nzuri ya udhibiti wa dawa za kulevya kama si kumaliza kabisa...
*Mapambano ya saratani ya mlango wa kizazi yaendelea
“Kupima saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake ndio mpango mzima…tupambane tuishinde isiue mtu. Mko wapi akina...
Jembe la kazi lililotua Liver kwa bil. 85/-KUELEKEA mwishoni mwa dirisha la usajili la Januari lililofungwa hivi karibuni, Liverpool walivunja kibubu na kutoa Pauni...
Mwaka mpya wa masomo nchini Tanzania umeanza tangu Jumatatu Januari 17, 2022 ambapo shule za Elimu Msingi na Sekondari zimefunguliwa.
Upekee ulioshuhudiwa kwa mwaka huu...
SERIKALI imekamilisha ujenzi wa madarasa 15,000 kwa asilimia 95 katika mikoa yote ya Tanzania bara, huku asilimia chache ikisalia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo...
JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon.
Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...
Sekta ya Mifugo ni miongoni mwa maeneo ambayo Tanzania imekuwa ikiyatumia katika kuingiza fedha za kigeni ikiwamo pia utoaji wa ajira kwa Watanzania.
Hata hivyo,...