28 C
Dar es Salaam

Makala

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Msanii Chemical apongezwa kufaulu mtihani wa PhD, rasmi ni Dk Lubao

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mashabiki wa msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania, Claudia Lubao maarufu Chemical, wamempongeza msanii huyo kwa kufanikiwa kufaulu mtihani wake wa...

TPC Moshi yaboresha elimu kupitia ufadhili na miundombinu ya kisasa

Na Safina Sarwatt, Moshi Zaidi ya wanafunzi 1,000 kutoka familia zenye mazingira duni wamefaidika na mpango wa ufadhili wa masomo ulioanzishwa na Kiwanda cha Sukari...

Kiwanda cha Sukari TPC kinavyochochea maendeleo ya elimu Kilimanjaro

Na Safina Sarwatt, Gazetini-Kilimanjaro Wanafunzi 68 wa kike wa shule ya sekondari ya TPC, mkoani Kilimanjaro, wamepokea ahueni kubwa baada ya kiwanda cha sukari cha...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

Shule ya Sekondari Mt. Joachim inavyoandaa vijana kwa maendeleo ya Taifa

Safina Sarwatt, Gazetini-Same Mwaka 2013, Kanisa Katoliki Jimbo la Same lilianzisha shule ya sekondari ya wavulana, Mchepuo wa Sayansi ya Mtakatifu Joachim. Lengo kuu la...

JET yawapiga msasa wahariri kuhusu migongano ya binadamu na wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko...

IWPG Promotes Peace Culture through the International Loving-Peace Art Competition All Over the World

The preliminary rounds of the 6th International Loving-Peace Art Competition were completed in 130 cities across 53 countries. The total number of participants was...

The 3rd IWPG Peace Monument is established in the Philippines

The 3rd Peace Monument of International Women’s Peace Group (IWPG) was established in Green Paradise Park in Kapalong City, Davao del Norte, Philippines. The Unveiling...

Watoto wahamasishwa kutunza Amani kupitia sanaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mratibu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Mratibu wa Amani Duniani wa Taasisi ya Kimataifa ya Amani ya Wanawake...

Vita ya kukabiliana na ukame Chunya: Ukata wakwamisha matumizi ya nishati mbadala

Na Grace Mwakalinga, Gazetini Wilaya ya Chunya, iliyopo mkoani Mbeya, ni moja ya maeneo ambayo shughuli za uchomaji wa mkaa zinafanyika kwa kasi sana, hali...

Preliminary rounds of the 6th International Loving Peace Art Competetion held in Tanzania

*Hosted by IWPG Global Region 2, A project to spread peace culture *Many children participated… “Parents are very interested” By Our Correspondent The Dar es Salaam Branch...

Watoto Mwanza waiomba Serikali kuondoa shule maalum na kuimarisha ulinzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 16, 2024, Tanzania inaungana na nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika. Wakati wa maandalizi...

Recent articles

spot_img