23.3 C
Dar es Salaam

Watoto

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

Ilani ya CCM: Malezi na ulinzi wa mtoto kuimarishwa

Na Jonathan Benedict, Gazetini Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka dhamira ya dhati ya kuimarisha ulinzi, malezi na maendeleo ya watoto kupitia Ilani yake ya Uchaguzi...

Wazazi saidieni malezi ya watoto ili kuboresha taaluma

Na Malima Lubasha, Gazetini– Serengeti Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mapinduzi iliyoko wilayani Serengeti, mkoa wa Mara, Jumanne Nyamhanga, amewataka wazazi na walezi kushirikiana...

Mabadiliko ya tabianchi yanavyotishia ustawi wa ndoto za watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto inayoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote, hasa watoto ambao ni miongoni mwa makundi yaliyo hatarini...

Wataalamu waonywa matumizi ya madini ya zebaki kuziba meno

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wataalamu wa afya ya kinywa na meno kutoka nchi za Afrika Mashariki wameaswa kuacha matumizi ya dawa za kuziba meno zenye...

TPC Moshi yaboresha elimu kupitia ufadhili na miundombinu ya kisasa

Na Safina Sarwatt, Moshi Zaidi ya wanafunzi 1,000 kutoka familia zenye mazingira duni wamefaidika na mpango wa ufadhili wa masomo ulioanzishwa na Kiwanda cha Sukari...

Kiwanda cha Sukari TPC kinavyochochea maendeleo ya elimu Kilimanjaro

Na Safina Sarwatt, Gazetini-Kilimanjaro Wanafunzi 68 wa kike wa shule ya sekondari ya TPC, mkoani Kilimanjaro, wamepokea ahueni kubwa baada ya kiwanda cha sukari cha...

IWPG hosts final ceremony for 6th International Loving-Peace Art Competition

The International Women’s Peace Group (IWPG), under the leadership of Chairwoman Hyun Sook Yoon, concluded the 6th International Loving-Peace Art Competition with an online...

Serikali yasisitiza umuhimu wa kuondoa madini ya risasi kwenye rangi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...

Shule ya Sekondari Mt. Joachim inavyoandaa vijana kwa maendeleo ya Taifa

Safina Sarwatt, Gazetini-Same Mwaka 2013, Kanisa Katoliki Jimbo la Same lilianzisha shule ya sekondari ya wavulana, Mchepuo wa Sayansi ya Mtakatifu Joachim. Lengo kuu la...

60% ya visa vya Mpox DRC ni watoto chini ya miaka 15 – Afrika CDC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimeeleza wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa Mpox barani Afrika. Katika mkutano...

IWPG, International Loving Peace Art Competition Tanzania Preliminary Awards Ceremony Held

On the 13th, the International Women's Peace Group, Global Region 2 (Regional Director Seo Yeon Lee) held the preliminary awards ceremony for the 6th...

Watoto wahamasishwa kutunza Amani kupitia sanaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mratibu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Mratibu wa Amani Duniani wa Taasisi ya Kimataifa ya Amani ya Wanawake...

Recent articles

spot_img