28.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Infographic| Ugumu uliopo mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

Tanzania imekuwa ni kati ya nchi zinazopambana kwa dhati kuhakikisha kuwa inafikia sehemu nzuri ya udhibiti wa dawa za kulevya kama si kumaliza kabisa...

Infographic| Tunayofahamu kuhusu hali ya Saratani nchini

*Mapambano ya saratani ya mlango wa kizazi yaendelea “Kupima saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake ndio mpango mzima…tupambane tuishinde isiue mtu. Mko wapi akina...

Infographic|Luis Diaz; alikataa Spurs, ametua Liverpool kwa Sh bilioni 85

Jembe la kazi lililotua Liver kwa bil. 85/-KUELEKEA mwishoni mwa dirisha la usajili la Januari lililofungwa hivi karibuni, Liverpool walivunja kibubu na kutoa Pauni...

Infographic| Tanzania tuko wapi chanjo ya Uviko-19

Tanzania imepokea dozi nyingine 800,000 za chanjo ya Uviko-19 aina ya Sinopharm kutoka Serikali ya China. Waziri wa Afya, Ummy Malimu, amesema kuwa: "Tumepokea chanjo...

Visual| Abiria wa safari za ndani waliosafiri na ndege za ATCL

Ni takribani miaka nane sasa tangu kufufuliwa kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwaka 2015 na aliyekuwa Rais wa Awmu ya Tano, Hayati...

Visual| Tunayofahamu kuhusu mwaka mpya wa masomo Tanzania

Mwaka mpya wa masomo nchini Tanzania umeanza tangu Jumatatu Januari 17, 2022 ambapo shule za Elimu Msingi na Sekondari zimefunguliwa. Upekee ulioshuhudiwa kwa mwaka huu...

Visualization| Mwarobaini wa madarasa shule za sekondari

SERIKALI imekamilisha ujenzi wa madarasa 15,000 kwa asilimia 95 katika mikoa yote ya Tanzania bara, huku asilimia chache ikisalia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo...

Visual| Ugumu wa maisha unavyosukuma vijana kwenye janga la UKIMWI

Na Faraja Masinde, Gazetini "Nilivyompigia simu akanitumia meseji akisema kuwa 'Ushawahi kuona wapi mdomo uliooza ukatoa jino salama' nilimuuliza unamaanisha nini akaniambia wewe unamaradhi, nikamjibu...

Infographic| Makundi Afrika, ni vita ya kibabe

JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon. Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...

Visual| Mitandao ya simu ilivyopoteza wateja

Ripoti mpya ya Robo ya tatu ya Mwaka 2021 iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonyasha kuwa kumekuwa na panda shuka ya wateja...

Infographic| Hatua zilizopigwa Sekta ya Mifugo na Uvuvi

Sekta ya Mifugo ni miongoni mwa maeneo ambayo Tanzania imekuwa ikiyatumia katika kuingiza fedha za kigeni ikiwamo pia utoaji wa ajira kwa Watanzania. Hata hivyo,...

Makala: Wazazi, wadau wataka fursa nyingine waliokatizwa masomo kwa mimba

CHANGAMOTO za maisha ikiwamo ukosefu wa mahitaji muhimu kwa wasichana walioko shule ni moja ya vichochezi vinavyosababisha wengi kuishia kupata ujauzito hali inayokosesha fursa...