22.2 C
Dar es Salaam

Elimu

Infographic| Tanzania ilivyonufaika na Trilioni 1.3

Kwa sasa unaweza kusema ni kama vyuma vimeachia! Hii ni kutokana na miradi yenye thamani ya Sh trilioni 1.3 itakayotekelezwa na Serikali ya Rais...

Infographic| Ukosefu wa elimu ya upangaji bajeti inavyovuruga familia

KUSUASUA kwa Uchumi ni miongoni mwa sababu ya migogoro kuanzia ngazi ya familia, na wakati mwingine kupelekea uwepo wa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

Ripoti| Wasichana Kidato cha Nne wanaongoza kuwa na wapenzi shule

Kutoka katika Ripoti ya Shirika la Haki Elimu Tanzania ya Utafiti wa Elimu ya Msingi na Sekondari kwa wasichana  ya Mwaka 2019 utafiti ulifanyika kuangalia athari anazozipata...

Visual| Uchumi wa Buluu; Maajabu ya bahari kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TAFITI zimebaini kuwa asilimia 71 ya uso wa dunia ni maji na asilimia 97 ya maji hayo ni bahari. Ikimaanisha, eneo...

Visualization| Mitihani Darasa la Saba na ongezeko la watahiniwa

KESHO jumla ya wanafunzi 1,132,143 wataanza mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi (PSLE) kwa mwaka huu na idadi hiyo inatokana na shule 17,585 zilizoko...

Infographic| Mwenendo wa chanjo ya corona nchini, elimu zaidi yahitajika

Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto hadi kiufikia Jumamosi Agosti 28, 2021 jumla ya walengwa 304,603 wamepatiwa...

Ripoti|Kila sekunde 40 mtu mmoja anajiua-WHO

TUNAWEZA kukubaliana kuwa matukio ya wapendwa wetu kujiua yamekuwa yakiacha simanzi kubwa kwenye jamii, labda kuliko hata vifo vingine vya ghafla. Ni changamoto ya maisha,...

Ripoti| Utatuzi migogoro changamoto maeneo ya kazi

RIPOTI ya mwaka huu ya Haki za Binadamu na Biashara imebainisha kuwa bado hakuna mifumo ya utatuzi wa migogoro ya kampuni, hasa kwenye maeneo...

Infographic|Tunayofahamu kuhusu Bajeti ya Serikali 2021/22

Bajeti mpya ya Serikali tayari imeanza kutumika tangu Julai 1, mwaka huu, huku sehemu ya bajeti hiyo ikiwa ni makusanyo kupitia kodi za wanananchi...

Infographic| Uhaba wa ajira ulivyoguswa 2020/21

CHANGAMOTO ya uhaba wa ajira imekuwa kaa la moto duniani kote, hasa kwa nchi zinazoendelea, ikiwamo Tanzania, huku wahanga wakubwa wakiwa ni vijana. Aidha, ongezeko...

Infographic: Kulinda ndoa kunavyofifisha ndoto za Wasichana Kilosa

NA FARAJA MASINDE “Ukifika kwenye eneo la ukatili wa kingono na ubakaji wanafunzi wanakuuliza…Madamu kwa mfano sasa ndio umebakwa umepata ujauzito, naweza nikarudi shule kusoma? Hili...

Makala: Utoro waondoa wanafunzi 90,607 shuleni

NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM WAKATI Serikali ikielekeza nguvu nyingi zaidi ili kila motot wa Kitanzania apate elimu bure walau kuanzia ngazi ya msingi...

Recent articles

spot_img