28.7 C
Dar es Salaam

Jamii

Serikali, wataalamu wa nishati jadidifu kuwawezesha wanahabari kuripoti maswala ya nishati safi kwa weledi 

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini Wakati wiki ya kwanza ya mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP27 ukiendelea Sharm el-Sheikh nchini Misri, Novemba...

Utafiti| Wanafunzi ‘wamesahaulika’ mapambano ya VVU

*Serikali inakumbushwa kuchukua hatua ikiwamo kubadili sera*Wazazi nao watakiwa kutokubaki nyuma Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa imepita tangu janga la Virusi...

Utekelezwaji duni wa maagizo ya Kamati za Kudumu za Bunge

Na, Anoth Paul, Gazetini KUMEKUWA na kusuasua kwa namna utekelezwaji wa maagizo ya Kamati za Bunge unavyosuasua kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi...

Visual| Ajali za Pikipiki tishio MOI

Na Anoth Paul, Gazetini Ajali zitokanazo na pikipiki zimesababisha idadi kubwa ya wagonjwa katika Taasisi ya Mifupa kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Asilimia 70...

Elizabeth; Mama wa Watoto sita anayepambana na maisha Mvomero

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini “Acha…Si unaumwa wewe? Sina pesa mimi ya kukukimbiza hospitali sahivi,” Ni maneno ya mama anayemkataza mtoto wake kufanya michezo ya hatari...

MAP| Wananchi Morogoro wanavyopambana na Malaria kwa watoto

*Ni mfereji uliopewa jina la ‘Aunty Malaria’ kwasababu ya uzalishaji wa mbu katika makazi yaliyo karibu *Pamoja na ugumu wa mazingira hayo, wananchi wanajitahidi kufanya...

Makala| Josephine; Shujaa anayeleta tabasamu kwa watoto wenye ulemavu Morogoro

*Zaidi ya watoto 600 wamenufaika na mpango huu *Baadhi ya wazazi waliona nimegeuza watoto wao kitega uchumi Na Tulinagwe Malopa, Gazetini "Ilikuwa ni baada ya kujikuta...

Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

Unyanyapaa unavyowapitisha WAVIU katika mstari wa kifo

Na Faraja Masinde, Gazetini "Nilipata maambukizi ya VVU nikiwa na miaka 24, baada ya kupata mwanaume mwenye pesa sana lakini kumbe alikuwa na maambukizi, ndugu...

Visual| Geita inavyoitikia Uzazi wa Mpango

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa Magharibi, Shinyanga upande wa Kusini na Mwanza...

Visual| Tanzania inavyodhibiti Polio

Na Faraja Masinde, Gazetini Hadi sasa Tanzania imefanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa Watoto 27,952,164 wenye umri chini ya miaka mitano. Idadi hiyo ni baada ya...

Visual| Idadi ya Watoto Tanzania kabla ya Sensa 2022

Na Faraja Masinde, Gazetini Agosti 23, mwaka huu Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya Watu na Makazi ikiwa ni sensa ya sita kufanyika tangu Muungano wa...

Recent articles

spot_img