27.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini

Infographic| Mwenendo wa chanjo ya corona nchini, elimu zaidi yahitajika

Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto hadi kiufikia Jumamosi Agosti 28, 2021 jumla ya walengwa 304,603 wamepatiwa...

Chati| Soko la nje linavyoitajirisha Tanzania

KATIKA dhana nzima ya utandawazi, haiepukiki kutaja fursa lukuki za kiuchumi zinazotokana na ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi moja na nyingine. Ni kwa...

Makala| China ni vita ya Serikali, mabilionea

HIVI karibuni, bilionea mwenye jina kubwa nchini China, Sun Dawu, alifikwa na hukumu nzito ya miaka 18 gerezani.Mbali ya kifungo, kampuni yake imelazimishwa kulipa...

Infographic| Makundi Afcon 2021, ni vita ya kibabe!

AGOSTI 17, 2021, ilichezeshwa droo ya hatua ya makundi ya fainali za Afcon 2021 zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 9, mwakani. Jina ‘Afcon 2021’...

Ripoti|Kila sekunde 40 mtu mmoja anajiua-WHO

TUNAWEZA kukubaliana kuwa matukio ya wapendwa wetu kujiua yamekuwa yakiacha simanzi kubwa kwenye jamii, labda kuliko hata vifo vingine vya ghafla. Ni changamoto ya maisha,...

Infographic| Isabel; Mwanamke tajiri zaidi Afrika anayeteswa na ufisadi

MIAKA nane iliyopita, jina la Isabel dos Santos liliteka vichwa vya habari ndani na nje ya Afrika baada ya binti huyo wa Rais wa zamani wa Angola, Jose...

Ripoti| Utatuzi migogoro changamoto maeneo ya kazi

RIPOTI ya mwaka huu ya Haki za Binadamu na Biashara imebainisha kuwa bado hakuna mifumo ya utatuzi wa migogoro ya kampuni, hasa kwenye maeneo...

Chati|Sekta ya Utalii ilivyochanua 2015-2021

AMA hakika utalii ni sekta nyeti nchini, kama ilivyo kwa madini, kilimo, na nyinginezo zinazotegemewa kuchangia pato la Taifa. Ndiyo, sekta ya utalii huchangia...

Infographic|Nini hatima ya Afghanistan chini ya Taliban

WIKI iliyopita, wachambuzi wa masuala ya kiusalama nchini Marekani walionya, wakisema zimebaki wiki chache tu Kundi la Taliban kurudi madarakani nchini Afghanistan. Ikumbukwe kuwa angalizo...

Uchambuzi|Huyu ndiye aliyemng’oa madarakani Edgar Lungu

HATIMAYE Tume ya Uchaguzi ya Zambia imemaliza kazi yake ya msingi, kumtangaza mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, hatua iliyochukua siku tatu za kuhesabu kura. Mgombea...

Infographic|Hali ilivyo watoto wanaougua saratani ya jicho nchini

TATIZO la Ugonjwa wa Saratani ya Macho (Retinoblastoma) kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano limeanza kushamiri mkoani Mbeya kutokana na idadi...

Infographic|Tunayofahamu kuhusu Bajeti ya Serikali 2021/22

Bajeti mpya ya Serikali tayari imeanza kutumika tangu Julai 1, mwaka huu, huku sehemu ya bajeti hiyo ikiwa ni makusanyo kupitia kodi za wanananchi...

Recent articles

spot_img