Mwangwi wa sheria| Polisi haihusiki na kesi hizi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI mwingine, kutokujua sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yako kunaweza kukupotezea muda, nguvu, na hata haki yako. Mathalan, kwenda polisi kwa suala la madai ni kosa ambalo limekuwa likifanywa na walalamikaji wengi, bila kufahamu kuwa chombo hicho kinashughulika na makosa ya  jinai tu. GAZETINI imefanya mahojiano na Wakili Baraka Asajile Gwakabake, … Continue reading Mwangwi wa sheria| Polisi haihusiki na kesi hizi