Tanzania yaadhimisha Siku ya Bahari Duniani kwa kusisitiza uchumi wa buluu endelevu
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 8, 2025, Tanzania iliungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Bahari Duniani — siku muhimu ya kutoa wito wa kimataifa wa kulinda bahari, chanzo kikuu cha maisha na uhai wa sayari. Bahari zenye afya ni msingi wa bioanuwai, ustawi wa kiuchumi, usalama wa chakula na kukabiliana na mabadiliko ya … Continue reading Tanzania yaadhimisha Siku ya Bahari Duniani kwa kusisitiza uchumi wa buluu endelevu
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed