Chart| Watanzania waanza kuitikia matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania, bado ni asilimia ndogo ya wananchi wanaotumia vyanzo vya nishati visivyo na madhara kwa afya na mazingira. Kwa mujibu wa takwimu za Benki ya Dunia za mwaka 2023, idadi ya … Continue reading Chart| Watanzania waanza kuitikia matumizi ya nishati safi ya kupikia