Watumishi waaswa kuzingatia miiko, maadili ya utumishi wa Umma
Na Mwandishi Wetu Watumishi wa Umma wameaswa kuendelea kuzingatia miiko na maadili ya utumishi wa umma, sera za nchi, sheria, kanuni na miongozo iliyopo ambayo inahitaji ukarimu, kuwapokea, kuwasikiliza na kuwahudumia wananchi ipasavyo. Maelekezo hayo yametolewa leo Juni 23,2025 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipokuwa akihitimisha kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na … Continue reading Watumishi waaswa kuzingatia miiko, maadili ya utumishi wa Umma
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed