Rais Samia aongoza harambee uchangiaji ujenzi kituo cha watoto, achangia milioni 150

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan ameongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre ambapo amechangia  Sh 150 milioni, kwa ajili ya ujenzi wa  kituo hicho  cha Watoto wenye mahitaji maalumu kinachotarajiwa kujengwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani … Continue reading Rais Samia aongoza harambee uchangiaji ujenzi kituo cha watoto, achangia milioni 150