Waziri Mchengerwa atoa rai kwa walimu
Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau wa elimu wa Wilaya ya Rufiji uliofanyika kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi … Continue reading Waziri Mchengerwa atoa rai kwa walimu
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed