Dar yatajwa kinara watoto wa mtaani
Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa kuwa na watoto wengi wanaoishi na kufanya kazi mtaani ni Dar es Salaam,ikifuatiwa na Dodoma. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 27,2025 bungeni na Waziri wa Wizara hiyo,Dk Dorothy Gwajima wakati akiwasilisha makadirio ya mapato … Continue reading Dar yatajwa kinara watoto wa mtaani
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed