Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema amesema kuwa mwaka huu Serikali inatarajia kujenga mradi mkubwa wa umeme wilayani Monduli, mkoani Arusha kwa lengo la kuuongezea nguvu umeme unaopatikana ili uweze kufika Loliondo na kusaidia wilaya hiyo kuwa na umeme wa uhakika. Dk. Biteko amesema hayo Aprili … Continue reading Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed