DCEA: Wanawake wateja wakubwa wa Skanka, wanatumia kupunguza mawazo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uchunguzi uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) umebaini kuwa wanawake ndiyo wateja wakubwa  wa dawa za kulevya aina ya skanka ikidaiwa kuwa  wanazitumia kupunguza msongo wa mawazo na kujistarehesha. Hilo limebainika wakati wa operesheni iliyofanyika katika kipindi cha Oktoba na Novemba iliyowezesha kukamatwa kilo 687.32 … Continue reading DCEA: Wanawake wateja wakubwa wa Skanka, wanatumia kupunguza mawazo