Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa imefanikiwa kushusha maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI(VVU) kutoka asilimia 7.7 mwaka 2003/2004 hadi asiliamia 4.4 mwaka 2022/2023. Februari 6, 2024 akifungua mkutano wa mapitio ya kimkakati wa PEPFAR COP muhula … Continue reading Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU